Mungu ndio anatoa rizki kwa kila mmoja fanya unachoweza mengine tumuachie Mungu. Mimi nimeshafanya kazi ofisi zina maboss vilaza lakini still ni maboss na wanaongoza institution na zinaenda hazifeli.
Anafanya insta ads ila wambea bado hajawapelekea.
Unashauri celebrity gani atafaa sana kumpelekea tangazo walau wawili watatu ambao wanaweza leta matokeo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.