Baada ya kukosa ajira naomba ushauri au msaada

Baada ya kukosa ajira naomba ushauri au msaada

sonzawileme

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2017
Posts
527
Reaction score
328
Mimi Nilihitimu Chuo 2015 Kada ya ELIMU baada ya Changamoto ya Ajira kuwa kubwa nililazimika kujiajiri Kuuza duka la Chakula hapa Dar es salaam.

Nimebahatika kupata Nyumba (Kibanda) lakini Changamoto niliyonayo baada ya kufanikiwa Kujenga hali ya Msingi umekua wa Kusuasua mpaka kuihudumia familia napata Tabu Maombi yangu Member's mwenye uwezo wa kunisaidia:-

1.Naomba kufahamishwa namna ya kupata Mkopo usiopungua Mil 3 ikiwa kwa MTU au Bank kwa Shart La Udhamin wa Nyumba.
2.MTU wa Kunisaidia CONNECTION ya Kupata Bidhaa za Kuuza harafu Narejesha Malipo.

Contact: WhatsApp 0769946412 . Naomba kusaidiwa
 
Pole sana mkuu ila kwa nini unaweka dhamana nyumba?
 
2.MTU wa Kunisaidia CONNECTION ya Kupata Bidhaa za Kuuza harafu Narejesha Malipo.

Contact: WhatsApp 0769946412 . Naomba kusaidiwa
Hii unaweza kufanikiwa, iwapo utamthibitishia mwenye mali, mzigo kuisha ndani ya muda mfupi
 
Pole sana mkuu ila kwa nini unaweka dhamana nyumba?
Dhamana kiuchumi wanataka kisichohamishika so ndio dhamana niliyonayo lengo nimafanikio kama kuna mbadala nielekeze au nisaidie nifanikiwe lango langu Mkuu
 
Dhamana kiuchumi wanataka kisichohamishika so ndio dhamana niliyonayo lengo nimafanikio kama kuna mbadala nielekeze au nisaidie nifanikiwe lango langu Mkuu
Umefanya study za kutosha kuhusu unachotaka kufanya maana wanadamu au taasisi za fedha hawana huruma na wewe pindi ukikwama marejesho nyumba itaenda.
 
Fanikiwa kimya kimya Mana walishaanza kuchukia na kulaani maisha yako. ... #paroleMayombe's
 
Kuhusu mkopo mkuu jaribu kuwatembelea tawi la nmb lililokaribu yako kisha waeleze hitaji lako.

Mungu akuongoze mkuu.
 
Back
Top Bottom