umeskia wanakula kwa baba kama wewe wale? ni watu wenye uwezo, na kenya sio nchi ambayo inahitaji gharama kubwa sana kuishi kwa mtu alietoka Tanzania. Hizi maneno chafu chafu ndio zitaigeuza nchi mfano wa Libya...... mambo hayana msingi kabisa
Sent from my SM-A5100 using JamiiForums mobile app
kila gari mpya inatumia umeme hauwezi kuukimbia, ni kama kwako tu ikipiga shoti usipo irekebisha itasambaa na kwengine kama hakuna circuit braker, kama unataka fuel efficient car go for it, its simple and good. Allex ina nafasi kubwa ndani na Run X ina base nzuri barabarani, so kama ni mtu wa...
tukiweka mbali kelele, huo mji ni wa kipekee Tanzania town planing zimetushinda. kelele za kuhamia dodoma zinazidi ilhali mji wa vyuo vikuu hauonekan kwenye mipango, mkoa wa viwanda morogoro hausikiki, Ghala la taifa iringa halieweki. Kenya wametuzidi sana tuwatumie kama mfano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.