Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
habarini wana jamii. Nina jamaa yangu ana taka sana kununua Gari Toyota Altezza 6 Cyl engine CC 1,990. Huyu Jamaa anaishi Tabata Segerea anafanya kazi Posta. waswas wake upo kwenye matumizi ya mafuta. kwamba kwa siku atatumia tsh ngapi kwa safari ya kwenda posta na kurudi kwake.
kuna wadau wenye ufaham mzuri wa magari
1. je kuwa na 6 cyl inaweza kuongeza utumiaji wa Petrol ukilinganisha na 4 cyl?
2. kuna uhusiano gani wa CC na matumizi ya mafuta?
3. Kuna ukweli kuwa engine za VVTi zinatumia mafuta pungufu kidogo
4. Kwa safari ya tabata segerea kwenda posta na kurudi Altezza 6cyl CC 1990 inaweza ikatumia lita ngapi kwa siku?
Nawasilisha.
kuna wadau wenye ufaham mzuri wa magari
1. je kuwa na 6 cyl inaweza kuongeza utumiaji wa Petrol ukilinganisha na 4 cyl?
2. kuna uhusiano gani wa CC na matumizi ya mafuta?
3. Kuna ukweli kuwa engine za VVTi zinatumia mafuta pungufu kidogo
4. Kwa safari ya tabata segerea kwenda posta na kurudi Altezza 6cyl CC 1990 inaweza ikatumia lita ngapi kwa siku?
Nawasilisha.