Ushauri: RunX na Allex

Maisha pesa

JF-Expert Member
Nov 6, 2015
681
630
Wakuu nimetokea kuzipenda sana hizi gari kutokana na muonekano wake ni gari za kisasa zaidi, engine size below 1500, zipo zenye 4wd pia, ziko spacious lakini pia nimeambiwa ni comfortable sana.

Ningependa ninunue moja wapo kati ya hizo lakini kuna watu wamenishauri kuwa system yake ya umeme haifai zitanipa shida sana. Kikizingua kitu kimoja kinapelekea kufeli kwa vitu vingine kwenye gari.

Halafu nimeambiwa taa zake ni gharama sana zinauzwa laki8 na haiuzwi moja lazima ununue mbili. Kuhusu spea pia nimeambiwa ziko juu.

Naombeni ushauri kwa wenye kuzifahamu gari hizo.
 
Sijui Tanzania mtaendelea lini ??

We unataka Gari yenye spear za bei rahisi ?? Kanujie combi
 
kila gari mpya inatumia umeme hauwezi kuukimbia, ni kama kwako tu ikipiga shoti usipo irekebisha itasambaa na kwengine kama hakuna circuit braker, kama unataka fuel efficient car go for it, its simple and good. Allex ina nafasi kubwa ndani na Run X ina base nzuri barabarani, so kama ni mtu wa mbio go for Run X ila kama you always have people in the car go for Allex. Kuhusu taa, haununui gari kuwaza ajali japokua zipo..... hata ukinunua gari ambalo taa ni bure huwezi kuzivunja kila siku....... all in all hayo ni magari mazuri na yapo kwenye chat sasa hv....ukiwa nalo utatumia vizuri tu na ukitaka kuuza utauza kwa bei poa sana. About comfortability inategemea unacompare na magari gani, huwezi fananisha na Axio, brevis, progres, Verossa, na mengineyo ambayo ndio comfortable car, but kwa kua hizo ni hatchbacks.... ukichagua vizur utapata zenye very comfortable seat for your demands out of comparison. I stand corrected.
 
kila gari mpya inatumia umeme hauwezi kuukimbia, ni kama kwako tu ikipiga shoti usipo irekebisha itasambaa na kwengine kama hakuna circuit braker, kama unataka fuel efficient car go for it, its simple and good. Allex ina nafasi kubwa ndani na Run X ina base nzuri barabarani, so kama ni mtu wa mbio go for Run X ila kama you always have people in the car go for Allex. Kuhusu taa, haununui gari kuwaza ajali japokua zipo..... hata ukinunua gari ambalo taa ni bure huwezi kuzivunja kila siku....... all in all hayo ni magari mazuri na yapo kwenye chat sasa hv....ukiwa nalo utatumia vizuri tu na ukitaka kuuza utauza kwa bei poa sana. About comfortability inategemea unacompare na magari gani, huwezi fananisha na Axio, brevis, progres, Verossa, na mengineyo ambayo ndio comfortable car, but kwa kua hizo ni hatchbacks.... ukichagua vizur utapata zenye very comfortable seat for your demands out of comparison. I stand corrected.
Mkuu nashukuru sana kwa ushauri wako wa kisomi. Nimejifunza mambo mengi kutoka kwako
 
Mimi ninamiliki runx mkuu.
Nimeshanunua spea mara kibao na ni bei rshisi tu yani kawaida sana.
Ni gari comfortable sana na wala hazisumbui kama ulivyoambiwa.
Utumiaji wa mafuta ni mzuri sana yani zaidi ya sana hasa kipindi hiki cha 5 yani wenzangu wanapaki sababu ya mafuta mi ndio nawapa lift kwenda na kurudi kazini.
Gari nzuri sana mkuu.
Wasikutishe nunua chombo hiyo then lete mrejesho
 
Mimi ninamiliki runx mkuu.
Nimeshanunua spea mara kibao na ni bei rshisi tu yani kawaida sana.
Ni gari comfortable sana na wala hazisumbui kama ulivyoambiwa.
Utumiaji wa mafuta ni mzuri sana yani zaidi ya sana hasa kipindi hiki cha 5 yani wenzangu wanapaki sababu ya mafuta mi ndio nawapa lift kwenda na kurudi kazini.
Gari nzuri sana mkuu.
Wasikutishe nunua chombo hiyo then lete mrejesho
Asante mkuu. Nimeupokea ushauri wako
 
Sawa ila kitu ninchojua ni kuwa yote ni mazuri gari ndogo aina ya Toyota spaear zipo za kumwaga kwani magari yanapata ajali siku hadi siku na ya yanchinjwa sana kutafuta speat tembelea Magomeni
 
Kka chukua runx imetulia ninayo yng mwak wa tatu sas ...haijnisumbua ni matunzo yako tu mkuu...
 
Baba chukua mnyama achana na maneno ya wapashkuna,we si unaona kadude kalivyo kaa utamu, kadude kakijanja sijawahi jutia
IMG_20170609_173840.jpg
IMG_20170610_072146.jpg
IMG_20170609_173831.jpg
 
Mkuu nunua magari ya kishua. Wanaume wa ukweli wanaendesha magari ya six cylinder na hawaogopi changamoto ya mafuta. Achana na haya ambayo ukisafiri nayo safari ndefu yanakuwa kama kipofu anayepapasa barabarani.
 
Mkuu nunua magari ya kishua. Wanaume wa ukweli wanaendesha magari ya six cylinder na hawaogopi changamoto ya mafuta. Achana na haya ambayo ukisafiri nayo safari ndefu yanakuwa kama kipofu anayepapasa barabarani.
Wewe una lipi?
 
Mi mwenyewe ninayo runx iko poa sana haijawahi nisumbua kabisa na ninapiga nayo masafa tena kwa mwendo wa kasi..
Spear ya laki 8 imekuwa prado mkuu?
Shida kwangu ipo chini na sitaki kuweka spacer
 
Mkuu nunua magari ya kishua. Wanaume wa ukweli wanaendesha magari ya six cylinder na hawaogopi changamoto ya mafuta. Achana na haya ambayo ukisafiri nayo safari ndefu yanakuwa kama kipofu anayepapasa barabarani.
Hilo nalo neno maana mziki wa six cylinder kwenye safari lazima mwenye baby walker akuonee wivu.
 
Mi mwenyewe ninayo runx iko poa sana haijawahi nisumbua kabisa na ninapiga nayo masafa tena kwa mwendo wa kasi..
Spear ya laki 8 imekuwa prado mkuu?
Shida kwangu ipo chini na sitaki kuweka spacer
Kweli ziko chini kwa barabara za makorongo inahitaji nidhamu, mimi nafikiria kuweka spacer nini hasara ya kufanya hivi?
 
Stability inapungua unapokuwa unakimbia more than 100km/hr ndo utasikia tofauti inakuwa haijatulia vizuri kwenye barabara .mi napenda kukimbia sasa naona kama spacer itaniharibia.
 
Back
Top Bottom