Recent content by stevenjacktesha

  1. S

    Natafuta kazi yoyote na nimesoma Microsoft office

    click link hii kuchek jins ya kuongeza knowledge yako kazi zikutafte sio wewe uzitafte
  2. S

    Msaada wa kuwa na app 2 za watsaap kwenye simu 1

    ok unaweza kutumia hata kama ukitaka ziwe 6 ok sasa ya kwanza download play store ambayo ni original na ya pili bonyeza hii link GBWA v5.70-2.17.146 @atnfas_hoak.apk
  3. S

    Msaada: Nikiingia youtube napata meseji 'connection to server is lost'

    Mara nyingi huwa ni network ndo inakuwa haiko stable ndo inaandika hvo
  4. S

    Msaada; Tecno C9, siwezi kupiga simu kupitia phonebook

    Ok kama kuna uwezekano tafuta stock rom yake then u flash au kama kuna possibility ya kuirudisha dukani unaweza peleka wakupe nyngne
  5. S

    Msaada; Tecno C9, siwezi kupiga simu kupitia phonebook

    Hilo ni tatzo tangu unanunua cmu au.. Au ni la muda co mrefu?
  6. S

    Msaada; Tecno C9, siwezi kupiga simu kupitia phonebook

    Cmu haina tatzo ila kuna settingz ambazo umefanya na haziko sawa cha kufanya restore simu nahc itasaidia
  7. S

    Msaada; Jinsi kufunga au kublock account ya Facebook ikiwa nimesahau password yake

    Haiwezekan hyo maana you can't block your facebook account kama haufahamu password ila nahc unaweza kufanya hvo kama kuna uwezekano wa kureset password then you can do it
  8. S

    MSAADA

    Nichek kwa pm i can help you
Back
Top Bottom