mtafiti05
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 956
- 593
Wanajamvi habar ya leo! Naomben msaada wa namna ya kufunga/kuondoa account yangu ya Facebook ikiwa nimesahau password yake, nasiitumii ila NAONA inatumika na mtu anapost PC zake kama vile yake ila ikiwa na detail zangu zote,
Mwenye upeo anielekeze wadau, karibun sana wataalamu!
Mwenye upeo anielekeze wadau, karibun sana wataalamu!