Unayumba kabisaa yaan sijui we ni mwanaume au mwanamke iv unapata wap ujasir wa kuhukum kiac hich wazia ndug yako wa damu katenda kosa ilo,afu aje Atendew kama unavyosem xo what's u will feel acha kujiongelesha kama uko club unakata grac ya gambe rud kweny uharisia afu ndo utajua namaanisha
Sikuiz tukiambiwa kitu tunaprove kama kuna uhusiano xo aliposema namba 777 inagawanyika kwa 11 alitegeamea wadau watapita juu kwaju xo kwa baat mbaya kama kayumb iv mtoa mada!!! Ahahaa usirudie tenaaaaaaaa
Mkuuu usipokimbia utabebwa mgongoni na usikubariii usinzie na fegi mpaka uchome kibanda coz matobo ya ngozi kwa mchunaji lazima huwa hayakwepeki xo be strong sabab hukuzaliwa na yy xo hata furaha yako haitegemei uwepo wake haujakataliwa na mama ako mzazi bhana,kula bata kuwa normal mpaka...
Mi nafikili unaelewa maisha ni kuchagua na kuchagua ni kupanga vile ambavyo unaona kuna Faida or wherever you do xo, unapofanya biashara usifikilie 2 faida,fikilia na hasara xo kwa incase yako wala usilalamike we kuwa normal 2 umepata!' Haukupata we kuwa kawaida Ilo ndo lifestyle ulilolichagua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.