Sipendi kabisa kuhonga mwanamke, hivi ntapata wazuri nikiendeleza hii sera?

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Oct 16, 2015
6,236
15,602
Habarini wakuu,

Mimi nna shida moja, inaweza kuwa imejijenga kulingana na maisha niliyoishi tangu mdogo.

Ipo hivi, mpaka sasa mimi ni kijana kwenye mid 20's hiv pamoja na umri huo lakini sina historia ndefu kwenye mahusiano kwakuwa ni kitu ambacho hakikuwa kipaumbele changu tangu nikiwa teenager, so hata nlivokuwa teen sikujihusisha na hiyo michezo kama ilivo kwa baadhi ya vijana wenzangu.

So ikafika kipindi wakati nimeingia chuo tayar nlikuwa nimeshakuwa na sasa ikawa inakuwa ngumu kuyakwepa haya mambo maana msukumo wa mwili, mihemko, na mazingira hayakuwa rafiki.

Ni time frame ya kuanzia kipindi cha chuo mpaka sasa ndiyo haswa nataka kuizungumzia.

Baada ya mihemko ya mwili na mazingira kunilazimu kuwa na mahusiano nilibahatika kweli kupata wanawake kadhaa na mpaka sasa kwa gap ya miaka kama 4 nilihusiana kimapenzi na wanawake kama watatu hivi.

Japo kwa sasa bado nna mawasiliano na wawili lakini nilitaka kubainisha mambo yafuatayo yaliyojijenga kama tabia baada ya mimi kuwa katika mahusiano hayo.

1. Nilikuwa mgumu wa kutoa pesa. Kwa kweli kati ya hao wote hakuna hata mmoja aliambulia chochote japo uwezo wa kufanya hivo pia nilikuwa nao lakini nilikuwa tu na moyo mgumu.
2. Kwa kweli sikuwa na wajali, ni wao ndo huwa walikuwa wananitafuta hata mpaka sasa.

Hiyo ni historia tu kwa ufupi ila nilitaka tu kuuliza kama inawezekana kutokutumia pesa na kupata mwanamke mzuri maana sasa hivi nipo namtarget mtoto mmoja bakora sana lakini shida ni pale nikiwaza kupigwa mizinga ya pesa akati na mimi sio mtoaji sasa sijui itakuwaje.

Na wadada, mtu akiwaapproach halafu mnamuona ana mkono mfupi huwa mnachukuliaje?
 
Habarini wakuu,

Mimi nna shida moja, inaweza kuwa imejijenga kulingana na maisha niliyoishi tangu mdogo.

Ipo hivi, mpaka sasa mimi ni kijana kwenye mid 20's hiv pamoja na umri huo lakini sina historia ndefu kwenye mahusiano kwakuwa ni kitu ambacho hakikuwa kipaumbele changu tangu nikiwa teenager, so hata nlivokuwa teen sikujihusisha na hiyo michezo kama ilivo kwa baadhi ya vijana wenzangu.

So ikafika kipindi wakati nimeingia chuo tayar nlikuwa nimeshakuwa na sasa ikawa inakuwa ngumu kuyakwepa haya mambo maana msukumo wa mwili, mihemko, na mazingira hayakuwa rafiki.

Ni time frame ya kuanzia kipindi cha chuo mpaka sasa ndiyo haswa nataka kuizungumzia.

Baada ya mihemko ya mwili na mazingira kunilazimu kuwa na mahusiano nilibahatika kweli kupata wanawake kadhaa na mpaka sasa kwa gap ya miaka kama 4 nilihusiana kimapenzi na wanawake kama watatu hivi.

Japo kwa sasa bado nna mawasiliano na wawili lakini nilitaka kubainisha mambo yafuatayo yaliyojijenga kama tabia baada ya mimi kuwa katika mahusiano hayo.

1. Nilikuwa mgumu wa kutoa pesa. Kwa kweli kati ya hao wote hakuna hata mmoja aliambulia chochote japo uwezo wa kufanya hivo pia nilikuwa nao lakini nilikuwa tu na moyo mgumu.
2. Kwa kweli sikuwa na wajali, ni wao ndo huwa walikuwa wananitafuta hata mpaka sasa.

Hiyo ni historia tu kwa ufupi ila nilitaka tu kuuliza kama inawezekana kutokutumia pesa na kupata mwanamke mzuri maana sasa hivi nipo namtarget mtoto mmoja bakora sana lakini shida ni pale nikiwaza kupigwa mizinga ya pesa akati na mimi sio mtoaji sasa sijui itakuwaje.

Na wadada, mtu akiwaapproach halafu mnamuona ana mkono mfupi huwa mnachukuliaje?
Mzeee endelea 2 ivyo ivyo na msimamo wako uko gud
 
Mzeee endelea 2 ivyo ivyo na msimamo wako uko gud
Sawaa nataka kuendelea na hii sera ila sasa naona kama inanikosesha totoz .,. Si unajua hawa mabinti wanapenda kutumbua tu, kuna wengine sijawazungumzia hapa wao kila siku wananiita nikawape bia na ni leo tu nimechomoa pia issue kubwa ni kwamba sipend kutumbua hela
 
Bana mtumiz mzeeee

Uendelee kula mizogass yako
Uliyozoea
Kwamba kuna wanawake wanaitwa mizogass? Aisee wewe acha dharau... Nataka tuingie pm nikutumie picha zao halafu na wewe unitumie za wa kwako tuone nani anakula mizogass...
 
IF MONEY CAN BUY YOU HAPPINESS WHY NOT? Hasara roho pesa makaratasi tu. Yaani mi ningekuwa mwanaume i would only have afforded the best.

Trust me NO MORE CINDERELLA STORIES. Unajibanaaaaa kisa upuuzi mtupu. By the time you are 70, all left are memories umekula makapiiii miaka yako yote ya ujana ukiulizwa kisa upate bureee. Hahahaaaa. Maisha ni kuchagua na umechagua kujinyima.
 
Bana mtumiz mzeeee

Uendelee kula mizogass yako
Uliyozoea

Hajui life is all about moments na tukizeeka unakumbuka tu memories ulizoweka, vichwa ulivokula vya maana, shemu ulizojiachia za maana hatari, safari ulizopiga deadly, pesa ulizokamataa, ulivozitekezaaa, ukiwa na flani na flani. Mpaka unajikubali Mi nimeishiiii jamani. No regrets whatsoever.

Ila baadhi ya watu wanaishi kwa SCRIPT. Soma Udsm, maliza pata kazi, oa, anza kulipa ada, jenga banda, nunua ki toyota. Zeeka, Staafu, kufa.

Nafuu mtu ambae hajabahatika kushika pesa ya ku afford kujipa vitu vizuriii, kuliko aliepata akajibanaaaa na mwisho zinaondokaga anyway. Atabakia kuwaza tu MAYBE I SHOULD HAVE LIVED A DIFFERENT LIFE.
 
Hajui life is all about moments na tukizeeka unakumbuka tu memories ulizoweka, vichwa ulivokula vya maana, shemu ulizojiachia za maana hatari, safari ulizopiga deadly, pesa ulizokamataa, ulivozitekezaaa, ukiwa na flani na flani. Mpaka unajikubali Mi nimeishiiii jamani. No regrets whatsoever.

Ila baadhi ya watu wanaishi kwa SCRIPT. Soma Udsm, maliza pata kazi, oa, anza kulipa ada, jenga banda, nunua ki toyota. Zeeka, Staafu, kufa.

Nafuu mtu ambae hajabahatika kushika pesa ya ku afford kujipa vitu vizuriii, kuliko aliepata akajibanaaaa na mwisho zinaondokaga anyway. Atabakia kuwaza tu MAYBE I SHOULD HAVE LIVED A DIFFERENT LIFE.
Haa haa haa umeona eeeeh
Mkuuuu

Hapa mtoa mada atakua amesaidika
Kabsaaaaa
 
IF MONEY CAN BUY YOU HAPPINESS WHY NOT? Hasara roho pesa makaratasi tu. Yaani mi ningekuwa mwanaume i would only have afforded the best.

Trust me NO MORE CINDERELLA STORIES. Unajibanaaaaa kisa upuuzi mtupu. By the time you are 70, all left are memories umekula makapiiii miaka yako yote ya ujana ukiulizwa kisa upate bureee. Hahahaaaa. Maisha ni kuchagua na umechagua kujinyima.
Hapo ndo atakuja kujua

Neno ningejua huja baada ya matendo
 
Ila baadhi ya watu wanaishi kwa SCRIPT. Soma Udsm, maliza pata kazi, oa, anza kulipa ada, jenga banda, nunua ki toyota. Zeeka, Staafu, kufa.
Lara unajua maisha yangu nn mo ndo script yangu hapo imeisha

Watu kama sisi pia tuna takiwa duniani hapa
 
Hahaha
Wewe life yako haiko scripted!!? Au iko scripted tofaut na yangu?

Hahaaaa! Ilikuwa scripted, but BY GRACE OF GOD, amenikutanisha na watu wanaojua THE TURE MEANING OF LIVING. Nimeacha kujibana na script za 1940s it is 2017 helooooo! Aaaaaaaaah! Now i going for the highest stakes possible in the society.

Nimekuja tu kurealise that scrip is full of an EMPTY life, no fun at all. Hapo idea of fun ni kwenda kwenye bia jioni. Hahhaaaaa. Hakika mtafute Mungu na mengine utapewa kwa ziada. Trust me.

You wanna know my script? Hutoiamini.
 
Kama mdomo wako una sera nzuri za kuongea, kumfanya mwanamke acheke hapo ushamaliza kila kitu. Kutoa hela sio kuwapata wanawake wazuri bali kuwa mteja wao mzuri. Kumbuka siku ukiwa huna hela ndege ataruka kutafuta chakula pahali pengine.


Ndukiiiii
 
Kama huongi utaendelea kupiga mangwala ngwala tu!Sistah duu hasa Dar hawezi kukuvulia chupi bila kumpa mpunga
Aisee utaendelea kupiga very low quality!Pole yako
 
Hahaaaa! Ilikuwa scripted, but BY GRACE OF GOD, amenikutanisha na watu wanaojua THE TURE MEANING OF LIVING. Nimeacha kujibana na script za 1940s it is 2017 helooooo! Aaaaaaaaah! Now i going for the highest stakes possible in the society.

Nimekuja tu kurealise that scrip is full of an EMPTY life, no fun at all. Hapo idea of fun ni kwenda kwenye bia jioni. Hahhaaaaa. Hakika mtafute Mungu na mengine utapewa kwa ziada. Trust me.

You wanna know my script? Hutoiamini.
Lara 1 umekuwa mlokole siku hizi? una maneno kama mother Teresa


Ndukiiiii
 
Kama mdomo wako una sera nzuri za kuongea, kumfanya mwanamke acheke hapo ushamaliza kila kitu. Kutoa hela sio kuwapata wanawake wazuri bali kuwa mteja wao mzuri. Kumbuka siku ukiwa huna hela ndege ataruka kutafuta chakula pahali pengine.


Ndukiiiii

Unajipa moyo mkuu!Sista duu huwezi mpanda kwa maneno matupu na kumbuka kupewa mapenzi eti ni handsome mwisho ni form Six
 
It z gud that you changed yur scropt ume stress kitu kizuri, ulikutana na watu wapya so ukabadilisha scrpt thts good

You wanna know my script? Hutoiamini.
.
Yes Lara i'd like to know yo scprt
May be i could ammend some of the lines in my scrpt too.
 
Back
Top Bottom