Ndugu wana jamii nakuja kwenu kuwaomba kwa mwenye nyimbo za kundi la bongo fleva la hard blasters crew(HBC) lililokuwa linaundwa na Niger J,Fanani na Big Willy ambazo ni 1.Funga kazi
2.Tuko nyuma kimaendeleo
3.Pata potea na
4.Nusu peponi nusu kuzimu
Aniwekee hapa au kwa namba ya WhatsApp...
Serikali ya Gabon imetangaza kuwa, wanajeshi waliohusika na jaribio la kuipindua serikali ya nchi hiyo wametiwa nguvuni.
Taarifa iliyotolewa na serikali ya Gabon imesema kuwa, hali ya mambo nchini humo ni shwari na waliohusika na jaribio hilo wamekamatwa.
Ripoti zinasema utulivu umerejea tena...
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli ameitaka mifuko ya hifadhi ya jamii kuboresha daftari la wastaafu ili kuondoa wastaafu hewa.
Leo Dec 28. 2018 na viongozi wa Shirikisho la Wafanyakazi (TUCTA), vyama shiriki, Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (PSSSF & NSSF) na Mamlaka ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.