Steven Jibe
Member
- Jul 31, 2014
- 17
- 4
Ndugu wana jamii nakuja kwenu kuwaomba kwa mwenye nyimbo za kundi la bongo fleva la hard blasters crew(HBC) lililokuwa linaundwa na Niger J,Fanani na Big Willy ambazo ni 1.Funga kazi
2.Tuko nyuma kimaendeleo
3.Pata potea na
4.Nusu peponi nusu kuzimu
Aniwekee hapa au kwa namba ya WhatsApp 0782202112 na pia ukihitaji nyimbo za zamani nichek kwa namba hzo
ASANTNI SANA
2.Tuko nyuma kimaendeleo
3.Pata potea na
4.Nusu peponi nusu kuzimu
Aniwekee hapa au kwa namba ya WhatsApp 0782202112 na pia ukihitaji nyimbo za zamani nichek kwa namba hzo
ASANTNI SANA