Recent content by Steve Mritha

  1. Steve Mritha

    Azam 2 mtasubiri sana kwa upande wa habari!

    Tofautisha kati ya msalaba na jumlisha....kuzidisha n X....Itv big up kwenu
  2. Steve Mritha

    Hofu ya CCM kuondolewa madarakani ipo dhahiri baada ya wananchi kuelewa sera za wapinzani kuziamini

    Yani na bado wao ndo wataisoma namba mwaka huu Ukawa mbele kwa mbele.......
  3. Steve Mritha

    Updates: Kampeni za mgombea urais kupitia CCM ndani ya jiji la Arusha

    hahahahahahaha monduli wako makini mzee kaa chini fikiria cha kutudanganya ila si kwa gia hiyo.....mabadiliko lowassa....lowassa mabadiliko......people's power....ukawa mbele kwa mbele
  4. Steve Mritha

    CCM Arusha Mjini hali mbaya sana

    Acha uongo asee nko Arusha na lema anapga mzigo kama kawaida ila magamba ndo yameshindwa kabisa hata mikutano yao wanafanya sokoni ili waonekane wana watu alaf unatudanganya live dah
  5. Steve Mritha

    CCM Arusha Mjini hali mbaya sana

    nice sana na watakoma mwaka huu ni ukawa ndo habari ya Tanzania
  6. Steve Mritha

    Ushiriki wa Dk. Wilbrod Slaa kwenye chama cha ACT-Wazalendo

    Kwahyo zitto alvokua chadema alikua mbaya ila akiwa Act ni msafi hahahahaha dr.slaa umeisha kifkra.
  7. Steve Mritha

    Dr. Slaa apewe ulinzi wa kutosha hapa nchini!

    Aaaaah hv dr.slaa bado ana impact kwenye nchi hii
  8. Steve Mritha

    AY mmiliki wa kipindi maarufu cha MKASI

    aseee nice sana....
  9. Steve Mritha

    Vigogo kung'oka CCM ni habari njema kwa Magufuli na timu yake

    hahahaha yan hujielewi wewe unafurahia nyumba kumomonyoka alafu unasema utaendelea kulala kwa amani...your dead and gone...think twice before posting anything...
  10. Steve Mritha

    Mtikisiko CCM: Vigogo watano kutoa msimamo hivi karibuni

    Na bado tunamngoja magufuli....
  11. Steve Mritha

    Lowassa: Nitadhibiti rushwa kwa siku 100

    Yani huyu mheshimiwa rais aanze kazi tu kashakua rais tayari...
  12. Steve Mritha

    Tatizo la kukatika katika umeme kuikosesha kura CCM

    Waache wawe vibaraka ila october 25 kiburi kitakwisha...
  13. Steve Mritha

    Msafara wa Lowassa wasimamishwa Ubungo

    Tuna mngoja Arusha kwa hamu kubwa hiyo itakua cha mtoto wazeee....
  14. Steve Mritha

    Kwa Hali Niliyoishuhudia Leo Old Bagamoyo Rd: There is No Way CCM Inaweza Kushinda!

    Nothing can separate citizens from honorable Lowassa....no matter what he is a president...
Back
Top Bottom