Ni kinyume cha matarajio ya wafanyakazi,ilifikia sehemu wakaanza kuamini kauli za Mjomba,ila kwa hili la juzi ambalo mi nahisi na si kuhisi tu,ndo ilivyo,MAAFISA UTUMISHI wa halmashauri zetu kabisa wanafanya kazi kwa mazoea,HRO umekabidhiwa kazi kuhakikisha sitahiki za mtumishi na utumishi wake...
Ni kweli,kinachobaki ni kwa mwanaume husika kusimama kama Mme,hapa ni kwa kutoa ushauri kwa mke wake na pia kumpa wosia wa jinsi jamii inavyomchukulia,kwamba kwa kuonyesha kwake kubadilika,jamii itampenda na kuamini kama yote yanawezekana kumbe,Tabia hubadilika,sio asili hiyo!!
Wakuu wa shule Siku hizi wapo wapo tu,they know nothing about administration, uongozi wa kupeana kindugu,kikabila na kiurafiki,Poor Tanzanian Education!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.