Recent content by Steve B Junior

  1. Steve B Junior

    Serikali kutowalipa watumishi waliobainika kuwa na vyeti feki na walikosa sifa

    Ni kinyume cha matarajio ya wafanyakazi,ilifikia sehemu wakaanza kuamini kauli za Mjomba,ila kwa hili la juzi ambalo mi nahisi na si kuhisi tu,ndo ilivyo,MAAFISA UTUMISHI wa halmashauri zetu kabisa wanafanya kazi kwa mazoea,HRO umekabidhiwa kazi kuhakikisha sitahiki za mtumishi na utumishi wake...
  2. Steve B Junior

    Usioe bar maid ukitegemea atabadilika

    Ni kweli,kinachobaki ni kwa mwanaume husika kusimama kama Mme,hapa ni kwa kutoa ushauri kwa mke wake na pia kumpa wosia wa jinsi jamii inavyomchukulia,kwamba kwa kuonyesha kwake kubadilika,jamii itampenda na kuamini kama yote yanawezekana kumbe,Tabia hubadilika,sio asili hiyo!!
  3. Steve B Junior

    Usioe bar maid ukitegemea atabadilika

    Hubadilika hao watu jamani,mtaani kwangu kuna wawili wameolewa,wapo vizuri wanaendelea na familia zao
  4. Steve B Junior

    Nimedukua mawasiliano ya mke wangu kwa WhatsApp code, aisee anapanga makubwa kunisaliti nitakaposafiri

    Nenda kazini wewe,hayo yapo hata ukiwepo Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
  5. Steve B Junior

    Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

    Ukweli utabaki kuwa hivyo,they are very intelligent,never compare.
  6. Steve B Junior

    Haiba za wakuu wa shule za sekondari za zamani

    Wakuu wa shule Siku hizi wapo wapo tu,they know nothing about administration, uongozi wa kupeana kindugu,kikabila na kiurafiki,Poor Tanzanian Education!
  7. Steve B Junior

    Nenda zako mshamba wewe! Acha wajanja waje

    Ndo wanaodumu na familia bora baadae,wanawake jitambueni
  8. Steve B Junior

    Nimerudia mtihani mara 3 ndo nikafaulu, je naweza kwenda form five?

    Usikate tamaa,utaweza,provided una credit 3,unaweza soma A-level,
  9. Steve B Junior

    Watu wa Kagera mnaishije? Hali ni ngumu sana huu mkoa

    Kagera ni mkoa mzuri bwana acheni porojo
Back
Top Bottom