Ni kweli,kinachobaki ni kwa mwanaume husika kusimama kama Mme,hapa ni kwa kutoa ushauri kwa mke wake na pia kumpa wosia wa jinsi jamii inavyomchukulia,kwamba kwa kuonyesha kwake kubadilika,jamii itampenda na kuamini kama yote yanawezekana kumbe,Tabia hubadilika,sio asili hiyo!!