Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,701
- 6,931
Wana uwezo mkubwa sana wa kujifanya wameacha tabia zao za kuuza nanihii, lakini ukweli ni kwamba hawa watu wameshaathirika kisaikolojia hawaridhiki kuwa na mwanaume mmoja, hata umpe nini akipata upenyo tu lazima acheat, Kama umeoa bar maid na huamini nisemayo weka mitego utamnasa tu,ni afadhali uoe changudoa kuliko bar maid.
Sio hao tu, bali hata wale wenye maisha yanayofanana na hao wakiwepo changudoa na wale walioishi maisha magumu na wakajeruhiwa.
hii miguu au mikono