usiende kwa mganga kwasababu mganga anatumia nguvu za giza na nguvu hizo za giza ni za kwa upande wa shetani,
alafu shetani hawezi kumpa mwanadamu kitu kizuri hata siku moja,kitu atakachokupatia ni kwa ajili ya kukuangamiza zaidi
japokuwa kwa mwanzoni utakiona kizuri.
Mi naona hapa shida ni moja tu USHIRIKINA na UCHAWI.
Naomba msinielewe vibaya sababu nimehukumu directly ila kwa akili za kawaida tu,haiwezekani watu ambao ni wanandoa na wakipendana sana watengane bila external forces ambazo ni hazitambuliki kwa akili za kibinadamu.
Apo cha muhimu atafute...
kama uko serious unataka ufurahie mapenzi,mpende kwanza MUNGU kwa style hiyo unayosema.Yani wewe ukisikia mambo ya MUNGU akili yako inaruka kabisaaa.
Then utakae mpata atakupenda na wewe utampenda na mtafurahiana.
Tafuteni kwanza ufalme wa MUNGU na hayo mengine yote mtazidishiwa.
Pole sana kwa matatizo kaka,ila kosa ulilolifanya ni kwenda kutafuta suluhisho kwa mganga
Hilo ndugu ni pepo la utambuzi kwa ivo lazima liweze kukutabiria.
uhalisia ni kwamba hizo unazopitia ni vifungo na laana za vizazi na vitazidi kufuatilia familia yenu mpaka kwa watoto wenu na watoto wa...
Una mawazo kama yangu tu,huyo mumewe ndo analea huo upuuzi we huwezi kubali kimada aende mpaka kwa mama yako na ndugu zako alafu una mke,watoto 3 na ndoa ya miaka 12
aongee na huyo mume wake bila kuficha chochote,na mdogo wake amwambie
A small boy saw a dead cat on his way home from school.
Overwhelmed by emotions,he went close to the cat
and touched it.
He touched it again.He touched it again
and again and again.
He could not stop touching it.
And he went on touching it.
Anyway like I said it's a
touching story
Hata kama haukubaliani na kitu alichofanya,lakini lugha za kejeli na kudhalilishana hazifai.
Mwambie tu ahamishe picha,au huku sio mahala pake sio maswala ya kuanza kurushiana maneno kama hayo
Naomba tujirekebishe hapo wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.