Nisaidieni nampenda sana

Nisaidieni nampenda sana

asee pole sana ukizingatia na hali uliyonayo inahitaji moyo kwakweli...unampenda kweliii au just because una mimba yake so no way out! mimi nakuonea huruma hiyo mimba tu others does not count....... je mliish pamoja kama waliooana au ndo cohabitation tu...??? are you economically independent or dependent? wakati huo anasema hakupendi anakufanyia vituko ama??? so bad...
 
labda kichefuchefu cha mimba yako kimehamia kwake mwache kwanza ujifungue mapenzi yatarudi vizuri
 
Heee dada keshakwambia hakupendi unataka nini tena.???
 
Mm nakushaur tulia mamy lea mimba yako kwanza achana na mapenz ukishajifungua utajua la kufanya pia jiweke busy sana usikumbuke mazur alokufanyia kumbuka mabaya yake tuuuuuuuu,jitahd utasahau japo inauma sana
 
natumaini ulijifungua salama vip mtoto mzima???
 
aaarrgggghhh kumbe uzi ni wa kitambo!!!!! vipi hajambo baby? na bwana ako kajirudi ama??
 
usiende kwa mganga kwasababu mganga anatumia nguvu za giza na nguvu hizo za giza ni za kwa upande wa shetani,
alafu shetani hawezi kumpa mwanadamu kitu kizuri hata siku moja,kitu atakachokupatia ni kwa ajili ya kukuangamiza zaidi
japokuwa kwa mwanzoni utakiona kizuri.
 
Mpenzi wangu kanitamkia rasmi kuwa hanipendi nimeumia sana ninaujauzito wake wa miezi 7 na tulikua tunaishi pamoja anawiki sasa anarudi saa 6,7 leo nimemkalisha chini kanijibu.

Nilikua nakupenda sasa hivi sikupendi nikamwambia mimi nakupenda kanijibu ( siku hizi hakunaga kupenda) jamani nampenda sana pamoja na yote anayonifanyia naombeni kama kuna mtu ana fahamiana na mganga yoyote anijulishe aniPM namba yake niweze kutatua matatizo.

NISAIDIENI NAJUA KUNA WATAKAO NISHANGAA LAKINI IMETOKEA TU NA SINA JINSI NAMPENDA SANA NACHOTAKA ARUDISHE MOYO KWANGU.

Pole sana usipotuliza akili utaumia akil ww co wa kwanza na co wa mwisho na kwa mganga co suluhisho hy hela yakumpa mganga kwann usiweke akiba ya mtt wako huy mwanaume amekwepa majukumu subra ndo suluhisho mshukuru mungu na usimtafute atarudi tu elekeza akili kwenye afya yako mwanaume hana ufundi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom