Recent content by stella daniel

  1. stella daniel

    JamiiForums Tanzania Wanaume tuishio Dar es Salaam acheni tu wenzetu wa Mikoani watudharau kwa aibu kubwa kama hii

    Wanasafisha adi kucha salon,tena anaemsafisha mwanaume mwenzie.
  2. stella daniel

    JamiiForums Tanzania Namna wanaume wanavyojiua kwa kumwaga shahawa

    Kiasi flani kunaukweli ndani yake, point ya muhim nilojifunza ni ku
  3. stella daniel

    JamiiForums Tanzania Tujuzane zaidi kuhusu nchi ya Ethiopia

    Ethiopia wanatumia lugha gani kama lugha Kuu?
  4. stella daniel

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu weusi wana IQ ndogo sana?

    Sio sisi sema wewe ndo una IQ ndogo wengine sie weupe.
  5. stella daniel

    JamiiForums Tanzania Walokole mnaoimba usiku mnene Mungu aliwaambia kuwa Yeye hapendi usingizi?

    Tatozo lipokwenye usomaji wa biblia na kutafsili. Biblia inaposema kesheni mkiomba kwa maana hamjui siku wala SAA haina maana kwamba watu wasilale inamaanisha kwamba muda woteuwe tayari kiroho,moyo wako usipungukiwe na neno LA mungu kwaaana hatujui Siku ya kuja mwana wa mungu. Inapokuja swala LA...
  6. stella daniel

    JamiiForums Tanzania Jumapili hii misa yangu naenda kusali kwa Mchungaji Gwajima

    Nimeamin maneno ya kiongozi wangu wa dini kwamba ukiona kanisa linaongozwa na MTU mmoja na anaitakanisa kwa jina lake kimbia to Ka umo haraka sana mana sio dini ya mwenyezi mungu haiwezekani kanisa limegeuzwa kuwa uwanja wa siasa. Kwani ilo kanisa LA gwajima halina viongozi wengine au wachungaji...
  7. stella daniel

    JamiiForums Tanzania Baba yangu hataki nioe kabila tofauti na langu

    Sasa mbona we ndo unaonekana unamatatizo,we MTU gani haongei na wew mpaka alewe .sasa iyo inayokukataza ni akili ya pombe wala sio yeye We nenda kabaliki ndoa yako uishi na mkeo kwa aman
  8. stella daniel

    JamiiForums Tanzania Mwanamke akatwa kichwa kwa tuhuma za kwenda madukani bila mumewe

    Ukristo raha sana jaman. Hakuna dini iliyotam kama kuwa mfuas wa yesu kristo mana yeye mafundisho take no mazuri yana himiza upole,huruma,kutohukumu na kusamehe saba mara sabini yan ata ufanye dhambi kubwa kiasi gan katika ukristo bado unanafasi ya kutubu na ukasamehewa, yesu wetu sio mkatili...
  9. stella daniel

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mke wa pili huwa mkorofi?

    BIBLIA INASEMA NA KUTUONYA KWAMBA HUWEZI TUMIKIA MABWANA WA WILI MANA HUWEZI ZUIA HISIA ZA UPENDELEO KWA KUONYESHA UPENDO MWINGI KWA MMOJA NA MWINGINE USIONYESHE. NDO MANA MNASHAULIWA KUO MKE MMOJA. AU BASI KAMA UMESHINDWA ACHA KUOA KABISA ILA UJUE NA UWE NA UWEZO WA KUZUHIA HISIA ZA ZINAA.
Back
Top Bottom