Hivi kiongozi leo kuna madiktekta kama Musolini,Hilter...etc Afrika ya leo hakuna Diktekta Sema ni Ukabila umezidi na kutojua utawala wa sheriahujafikiwa ndio maana unautukuza udikiteita, au unanufaika na udikiteita ndio maana unasema hivyo. Ukikuta wazazi wako wamechinjwa vichwa ndio utajua maana ya udikiteita, unajisemea tu!
Bikila sio BIKIRA!!!!Abebe bikira cjui unamfaham huyu
Isije kuwa unawafananisha na wasomali!Hawa si ndio watu wao wanakamatwa hapa kwetu kila kukicha kama wahamiaji haramu wanakimbilia south huko
wapo tu, mtu anawekwa gerezani miezi 4 si hitler huyo, unatakaje. saanane yuko wapi, si mussolini! ethiopia wamekufa kwa maelfu na maelfu, google utaonaHivi kiongozi leo kuna madiktekta kama Musolini,Hilter...etc Afrika ya leo hakuna Diktekta Sema ni Ukabila umezidi na kutojua utawala wa sheria
Pia wamepambana sana na waturuki kuzuia jihadTukiwa tumepokea ugeni wa Waziri Mkuu wa Ethiopia sio mbaya sana leo tukipeana maarifa zaidi kuhusu nchi hii iliyopo pembezoni(horn) mwa Afrika kwani naona kama ina historia nzuri sana kuanzia enzi za kikoloni mpaka Leo.
Kwa uelewa wangu mdogo najua mji wake Mkuu Unaitwa Adis Ababa, imewahi kuwa na wafalme maarufu kama vile Menelik na Haile Selasie.
Ni kati ya nchi ambazo hazikutaliwa na Wakoloni pamoja na Liberia kama nlivyomsikia Rais wetu Leo katika hotuba yake ya Kumkaribisha Mgeni wake, na pia mwl wangu wa Historia aliniambia sababu kuwa Ethiopia ina asili ya milima yenye mawe makubwa hivyo walikua wakiwaporomoshea wazungu hayo mawe, Wakoloni wenyewe nasikia walikua Waitaliano.
Kwa kifupi ni hayo nawe unakaribishwa zaidi kutujuza kuhusu nchi ya Ethiopia.
Karibuni.
Historia ya Ethiopia inaanzia mbali sana hata kabla ya karne ya kwanza, ushahidi mwingine ni ule uliopo katika kitabu cha Biblia agano la kale ambapo Malkia wa Sheba alipofunga safari kwenda hadi mashariki ya mbali kumuona/kumsikiliza mfalme Suleiman na akarudi na mimba. Inaaminika waithiopia wengi wanamchanaganyiko na uzao wa kiyahudi hata wakati mwingine hujiita wayahudi weusi. Inaaminika kuna mpango mkakati unaoendelea kuwapa uraia na kuwarudisha Isarel.
Habari za mfalme Suleiman unaweza kuzipata kwenye kitabu cha 2 Nyakati 9:1-31.
AsanteKuna Mistari ya Biblia inasema nitawainua watu wa Kushi na Seba...Hawa wanatamaduni zinazofanana na Israeli Waziri mkuu wa Israel alivyofanya ziara yake Ethiopia alitoa pendekezo la kuwarudisha Israeli waethiopia wote wenye Asili ya Israeli. REFER KUSHI EMPIRE
Amen RaHistoria ya Ethiopia inaanzia mbali sana hata kabla ya karne ya kwanza, ushahidi mwingine ni ule uliopo katika kitabu cha Biblia agano la kale ambapo Malkia wa Sheba alipofunga safari kwenda hadi mashariki ya mbali kumuona/kumsikiliza mfalme Suleiman na akarudi na mimba. Inaaminika waithiopia wengi wanamchanaganyiko na uzao wa kiyahudi hata wakati mwingine hujiita wayahudi weusi. Inaaminika kuna mpango mkakati unaoendelea kuwapa uraia na kuwarudisha Isarel.
Habari za mfalme Suleiman unaweza kuzipata kwenye kitabu cha 2 Nyakati 9:1-31.
sio kurushiana mizinga,huwa wanapigana mara kwa mara na eritreaWamewahi kurushiana Mizinga na Eritea Kisa mipaka kama India na Paskitani tu walivyokua wakigombania jimbo la kashmir
sio kurushiana mizinga,huwa wanapigana mara kwa mara na eritreaWamewahi kurushiana Mizinga na Eritea Kisa mipaka kama India na Paskitani tu walivyokua wakigombania jimbo la kashmir
wewe ulitegemea aongee lugha nyingine, zaidi ya hiyo hakuna nyingine anayojua labda kisukuma tuAmeongea vitu vya msingi sana anza na utalii,Umeme,Viwanda vya bidhaa za Mifugo hasa Ngombe, amepromote Lugha yetu ya kiswahili so ameongea kiswahili tu
Hata ile dini ya rastafariii mungu wao yuko ethiopiaEthiopia wanamatukio sana sina uhakika nasikia Bob Marley naye kaburi lake liliamishwa kutoka Kingstontown (Jamaika) akaja kuzikwa upya Ethiopia wenyekujua watatutuja zaidi.