Asanteni sana.kwa kila aliyenena kwaajili ya MAMA,Asanteni mnaomtafuta MWANAMKE kwenye kundi la kina MAMA.Udhaifu wa WANAWAKE ulianza kuonekana tangu siku ile inayosemekana EVA(HAWA) alikula tunda alilokatazwa na MUNGU.lakini ukiwa na lengo la kuwa MKWELI Duniani,ukweli ambao unaweza...
Kawatshe wasiojielewa wenzako kama wewe,.wewe mwenyew hujui mm nan na nafanya nn,kama unafanya kazi ya TISS kuna utaratbu wake wa kutoa report za namna hyo na si kama ulivyotoa wewe humu,
Acha kufuatilia maisha ya mtu bali fuatlia maisha yko na yale yote yanayoweza kuathiri jamii mfano jambo la madawa ya kulevya hapo upo sahihi lakini maisha mengne ya familia za watu c vzuri kuyazungumzia,kwanza kisheria ni kosa kuzungimzia maisha ya familia flan kwnza wewe cyo msemaji wa...
Kama mleta mada ni mwanamke basi tutaangalia nyuma ya ubongo wake huyo mtafit inawezekana ana chuki naye ukizngatia wasanii weng wa kiume wakipata umaarufu kidg tu lazma wawapitie sana viunoni,lakn kama ni mwanaume inawezekana aligongewa.haiwezekan kwa akili yko ya kibnadamu unaacha shuguli zako...
Cku zote wanaofuatilia maisha ya watu ni nadra sana kufanikiwa lakn ni vyema tukiwa kama bnadamu tukaacha vle vtu vlivyowafanya wengi wawe masikini,..mtu mwenye malengo yaliyobeba ndoto za kufanikiwa huwez ukaacha shughuli zako na kuamua kumfuatilia mtu,.kwa vle nilivyomuelewa mm anadai kuna...
Habari za mungu ili uzikubali sharti kwanza ujitoe ufahamu na ikibdi uvae akili hata ya mbwa ,lakn ukiwa bnadamu kamili wa kufikiri ni vgumu kulikubali hilo...
Ni heri watu wakamgeukia mwanamke na mama duniani labda jibu la uwepo wa Mungu utajulikana.kiwango cha kumtambua Mungu kinaanzia kwa kumtambua MAMA kwanza ,ni hatari sana kuruka mamlaka,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.