Kama unatumia Nokia nenda kwenye internet harafu search software inayo itwa PC SUITE harafu download ni bure kbs ukimaliza fanya installation kwenye pc yako hiyo itakuwezesha kukonect na simu.
Tatizo hii fany imeingiriwa na watu ambao hata hawajui mambo ya kuchapa code za html pamoja na css kwa hiyo ndo maana hata blog hizo muonekano wao si mzuri lkn twapaswa kuwakosoa wapi wanakosea maana technologia ndo tunaipokea.
Kweli hii ni aibu ya mwaka, spika anamatatizo sana maana anaona kila jambo linalo zungumziwa na mpinzani nilakipuuzi kweli kama ingewezekana wabunge wange chagua spika mwingine lkn nikitu kisichowezekana.
Watanzania kinacho tusumbua ni njaa tu na wivu, huyo mtu anapesa za kutosha tusipende kujaji vitu ambavyo hatuna uwezo navyo acha watu wamchangie Dr slaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.