Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Ina maana Slaa anashindana na Riz1?Harusi ya Ridhiwani Kikwete iligharimu 135millioni...Tatizo lako unawaza kwa kutumia hizo kengeza zako!
Ina maana Slaa anashindana na Riz1?Harusi ya Ridhiwani Kikwete iligharimu 135millioni...Tatizo lako unawaza kwa kutumia hizo kengeza zako!
Rose Kamili atakuwa Rose Nusu na wale wote wanaomtumia kama ni kweli.
kazi ya kujenga visima, barabara, hospital na mashule ni kazi ya serikali, ni makosa sana yaliyofanywa na serikali kututwishwa wananchi mzigo wa kujenga shule, au hopital, Sabodo hana haki yoyote ya kulazimishwa kufanya jambo ambalo ni jukumu la serikali, anavyofanya hivyo ni kwa kujitoa kweke tu, Hizo ni pesa zake na yeye ndio mwenye uamuzi wa kuzigawaChenge, EL, Rostam na wengineo wana Mabilioni na wala hujawahi kuweka uzi humu wa kuwalalamikia watu hawana visima,Shillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?
Nitashangaa sana Kama ni kweli.
Nadhani alikuwa Ana maanisha huyu rais kukubali hizi million kwa harusi. Anataka apeleke kwennye maji.
Nami naunga mkono hoja.