Jinsi ya kutumia simu ambayo ina usb ku access internet kwenye kumputa

Inategemea na aina ya simu. Kabla sijaibiwa ka Nokia kangu Nokia 9500, ilikuwana internal modem yenye seep ya ajab sana. Sasa ungesema aina ya simu tukusaidie na kam una software yake. Kwakifupi ukisha konect kwa komputa alafu unafungua hiyo software, kisha unaenda sehemu ya Internet na kisha unaclick connect alafu unakuwa connected na kutokea hapo inafanya kazi kama modem ya kawaida. Unaweza kuminimize na kufungua mozilla or internet explorer yoyote.
 
Inategemea na aina ya simu. Kabla sijaibiwa ka Nokia kangu Nokia 9500, ilikuwana internal modem yenye seep ya ajab sana. Sasa ungesema aina ya simu tukusaidie na kam una software yake. Kwakifupi ukisha konect kwa komputa alafu unafungua hiyo software, kisha unaenda sehemu ya Internet na kisha unaclick connect alafu unakuwa connected na kutokea hapo inafanya kazi kama modem ya kawaida. Unaweza kuminimize na kufungua mozilla or internet explorer yoyote.
Si utaje jina la hiyo software?? Alafu unaeleza kama unaogopa?? watu hatujui hapa....alafu unabana banabaaaa!!! funguka mzee
 
me natumia htc,os yake ni android. hiyo unaconnect aje?

nenda settings za connection na tafuta tether mode,connect usb,enable usb debugging,activate tether mode.ukikosa nenda google play,download pdanet,ukidownload chagua tether itaku direct kwenye link kudownload kidude utakacho install ktk pc ili ukonectie cm yako,ukisha kiinstall connect usb enanle usb debugging activate pda net kwenye cm na pc,u r done.unaweza tumia pda kusupply net kwa bluetooth,usb or wifi.hope i served,enjoy.
 
Kama unatumia Nokia nenda kwenye internet harafu search software inayo itwa PC SUITE harafu download ni bure kbs ukimaliza fanya installation kwenye pc yako hiyo itakuwezesha kukonect na simu.
 
nenda settings za connection na tafuta tether mode,connect usb,enable usb debugging,activate tether mode.ukikosa nenda google play,download pdanet,ukidownload chagua tether itaku direct kwenye link kudownload kidude utakacho install ktk pc ili ukonectie cm yako,ukisha kiinstall connect usb enanle usb debugging activate pda net kwenye cm na pc,u r done.unaweza tumia pda kusupply net kwa bluetooth,usb or wifi.hope i saved,enjoy.

Ahsante.
 
Njia nyepesi zaidi ni kutumia bluetooth connection kati ya simu yako na computer ,hii ina apply kwa simu nyingi zaidi na haina mahitaji magumu zaidi ya bluetooth capacity ya comp na simu yako.
Ila kama unataka ya USB , kwa wale wa IDEOS , nenda SETTINGS/ WIRELESS AND NETWORKS/TETHERING & PORTABLE HOTSPOT / USB TETHERING
 
natumia android[motolora MB501] naombeni msaada wadau nimeshindwa nifanyeje msaada tafadhali
 
Back
Top Bottom