Habari,
Naomba kujua kuhusu biashara ya mafuta ya kupikia.
Utajuaje mafuta ya kupikia yanapanda au yanashuka Bei?
Mawakala wa mafuta ya kupikia wanapatikans wap?
Naomba msaada kwa anayejua ntaweza kupata hotel au lodge ya Bei 15 hapa maeneo ya manzese anitajie Nina uhitaji mkubwa
Logde au hotel inayoanzia chumba 15 , naomba anitajie
Au naomba mnitajie Bei za hotel na lodge manzese
Habari,
Anayefahamu wanapouza au kiwanda Cha mifuko ya nylon kinapatikana maeneo gani kwa hapa dsm
Mifuko hutumika hutumika kuwekea vitu vidogo vidogo madukani
Habari Wana jamii forum
Mimi ni kijana umri miaka 27, ni mfanyabiashara na Nina degree ya chemistry
Natafuta mwanamke wa kuoa ,
Naishi mabibo
Umri wa mwanamke usizidi miaka 22
Habari Wana jamii forum,
Mimi ni kijana na mfanyabiashara ,na ni Domo zege naomba mnipe mbinu ili niweze kutongoza mwanamke ,nipate mpenzi
Kuwa Domo zege kunanisumbua Sana sijui kutongoza nasindwa kupata hata mchumba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.