Recent content by stan john

  1. stan john

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Mizani kwa ajili ya duka

    Habari, Nahitaji mizani kwa ajiri ya kupima vitu vya dukani naomba kujua Bei yake na wapi wanauza nipate mizani nipo dar mabibo.
  2. stan john

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mashine ya kukunia nazi

    Sh ngapi wanauza?
  3. stan john

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mashine ya kukunia nazi

    Habari, Nahitaji machine ya kukunia nazi kwa ajiri ya biashara ya genge, Nipo Dar ,mabibo Naomba kujua wapi nitapata na Bei yake , Asante
  4. stan john

    JamiiForums Tanzania Nahitaji ndoo za plastic

    Nipo dar
  5. stan john

    JamiiForums Tanzania Nahitaji ndoo za plastic

    Habari, Nahitaji ndoo za plastic kwa Bei ya jumla, na naomba kujua viwanda vinavyotengeneza ndoo za plastic Nina uhitaji mkubwa ,asanteni
  6. stan john

    JamiiForums Tanzania Soko na biashara ya mafuta ya kupikia

    Habari, Naomba kujua kuhusu biashara ya mafuta ya kupikia. Utajuaje mafuta ya kupikia yanapanda au yanashuka Bei? Mawakala wa mafuta ya kupikia wanapatikans wap?
  7. stan john

    JamiiForums Tanzania Msaada Hotel na lodge za manzese ya Bei nafuu 15-20

    Naomba msaada kwa anayejua ntaweza kupata hotel au lodge ya Bei 15 hapa maeneo ya manzese anitajie Nina uhitaji mkubwa Logde au hotel inayoanzia chumba 15 , naomba anitajie Au naomba mnitajie Bei za hotel na lodge manzese
  8. stan john

    JamiiForums Tanzania Michele unaanza kushuka lini?

    Habari, Bei ya Michele ipoke uko kyela ,mbalali,morogoro ,Michele unaanza kushuka Bei lini
  9. stan john

    JamiiForums Tanzania Bei ya mafuta ya kula itakuaje Baada ya Israel kuishambulia iran

    Habari, Baada ya Israel kuishambulia iran Leo usiku ,Bei ya mafuta ya kula itapanda au itashuka ????
  10. stan john

    JamiiForums Tanzania Machimbo au kiwanda wanapouza mifuko ya nylon kwa Bei ya jumla kwa hapa Dar es salaam

    Habari, Anayefahamu wanapouza au kiwanda Cha mifuko ya nylon kinapatikana maeneo gani kwa hapa dsm Mifuko hutumika hutumika kuwekea vitu vidogo vidogo madukani
  11. stan john

    JamiiForums Tanzania Mafuta ya massage ambayo ni mazuri

    Habari, Naomba kuuliza ni mafuta gani manzuri kwa ajiri ya massage, na yanauzwa sh ngapi?
  12. stan john

    JamiiForums Tanzania Ni wapi naweza kupata sigara nikauze jumla? Nipo Dar

    Habari, Mimi ni mfanyabiashara nipo Dar, Mabibo. Nilikua naulizia wapi naweza kupata sigara ili nije kuuza Bei ya jumla?
  13. stan john

    JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba mwanamke

    Nipe mbinu ya kuwapata
  14. stan john

    JamiiForums Tanzania LBD cocktail

    Habari Wana jamii forum LBD cocktail ni cocktail Ina sifa gani na zinauzwa sh ngapi hapa dar kwenye bar au club Ina pombe au haina? Tamu au chungu?
Back
Top Bottom