The earliest reference to masons is in the Regius Poem, or Halliwell Manuscript, which was published in 1390, but Freemasonry as we know it today was founded in 1717, when four London lodges merged it form England’s first Grand Lodge. Freemasonry quickly spread across Europe and to the American...
Aisee yawezekana ulichomea chumbani kwako huwezi fananisha bendera ya taifa na boxer; BENDERA [emoji1241] ni symbol na ni nyara ya taifa vivyo hivyo kwa pesa nembo ya taifa au wimbo[emoji445] wa taifa sheria hairuhu vichezewe hata kidogo ukithibutu ikathibitika sheria inakuhusu...
Unaweza weka wazi hayo masharti? Maana unaweza letewa shida ikawa mkusanyaji hakufuata masharti baada ya kuwa dili likawa dirisha ikapigiwa mstari kwamba ni utapeli mkuu.
Hivi ni kweli ulichoandika? Kwamba huwezi kuwa usalama bila kuwa KOMANDO.......wajuzi wa hizi mambo plz kwangu naona big NO! Nikiwa na maana si lazima uwe komando ili uwe usalama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.