Rostema
JF-Expert Member
- Nov 27, 2018
- 2,929
- 9,467
Popo hatagiYai la popo je halina thamani??
Popo hatagiYai la popo je halina thamani??
Nyara ya serikaliNa Sisi Wenye Mayai ya Mbuni soko letu lipo wapi!!
Nilipanda kwenye Mkuyu, nikaona mayai, nikakimbia kununua wembe, unanasa. Nikapata 10m za Kenya; Ila Mimi nikapata 16m za kitanzania, zingine sijui zilienda wapi, maisha siyo mabaya nimejenga.Habari zenu!
Naomba leo nitoe ushuhuda hapa jukwaani. Kwanza nipende kutoa shukurani kwa Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kuniweka hai kwani wengi Sana walitani kuishi ama kupata bahati Kama yangu lakini hajaweza kupata.
Kiu kubwa ya mwanadamu ni kupata mafanikio katika maisha. Wengi tunatamani mafanikio ya kiuchumi kwani bila haya hatuwezi kuheshimika ktk nyanja zingine za kijamii kama ndoa n.k.
Wengi wetu tumekuwa tukipigana kuufuza umasikini bila mafanikio lkn leo naomba kukufumbua watu macho kuhusiana na mayai ya bundi. Nakumbuka nikiwa form mwaka 2010 nilipewa mchongo na mjomba wangu alisema Kama utani. Aliniambia ukipata mayai ya bundi nambie nikuoneshe pesa ilipo.
Aisee kwa vile huwa nina uchu na utajiri niliyasaka sana huko mbungani kwa kweli mungu siyo Athumani mnamo mwezi Kama huu nilipanda kwenye mkuyu mkubwa Sana. Nilishangaa bundi unaruka usawa wangu nikatetemeka kidogo nianguke ila nilivumilia tu. Baada ya kutulia nikaangalia vzr nikapata Kuna mayai mawili yanakaribiana na mayai ya kuku. Aise nilikimbia mpaka centre ya Kijiji nikanunu wembe wa topaz. Nikaenda kutest kweli wembe ukanasa.
Nifupishe stori tu. Nilipeleka akanipeleka Mji wa Kisumu Kenya tukauza KSh 10m tukaja tukabadilisha ila kwa bahati mbaya Sana Mimi nilipata kama 16m za kitanzania tu. Sijui zingine zilienda wapi ata. Kuanzia siku hiyo Sina maisha mabaya sana kwani nilifanikiwa kuanzisha biashara zangu na nimejenga na umri nilionao unaruhusu kabsa.
Namshukuru Mungu
Kweli wewe tapeli, inaonyesha hata BUNDI huwajui. Kuna BUNDI wa kisasa. Tapeli anakuwa na akili Sana, Ila wewe, utafungwa.Wale bundi wa kienyeji mkuu
Man sina shida na pesa yako. Inaonekana akili yako ya kimasikini sanaNilipanda kwenye Mkuyu, nikaona mayai, nikakimbia kununua wembe, unanasa. Nikapata 10m za Kenya; Ila Mimi nikapata 16m za kitanzania, zingine sijui zilienda wapi, maisha siyo mabaya nimejenga.
BUNDI HUWA HATENGENEZI KIOTA. Siku zote anatagia ardhini.
Kaibie mazwazwa huko.
Kipi cha ziada mbali na hilo la kunyakua millions of TZS?! It doesn't sound like sarcasm either!Soma Uzi vzr
Hujanilazimisha nini?! Mimi nimekuonesha njia ya ku-make more and more millions of TZS kwa kukuambia ufuge kabisa hao bundi, manake ukiwa na majike 5 tu, watakufanya uwe millionaire! Just imagine, kabundi kamoja tu na tuvimayai twake tuwili, kakakuletea almost 200M za Kibongo! Sasa bundi 5 wakikupa mayai 10 si BILIONI MOJA hiyo Chifu?!Hamjalazimishwaaaaaa
Mzee yana masharti yakeHujanilazimisha nini?! Mimi nimekuonesha njia ya ku-make more and more millions of TZS kwa kukuambia ufuge kabisa hao bundi, manake ukiwa na majike 5 tu, watakufanya uwe millionaire! Just imagine, kabundi kamoja tu na tuvimayai twake tuwili, kakakuletea almost 200M za Kibongo! Sasa bundi 5 wakikupa mayai 10 si BILIONI MOJA hiyo Chifu?!
Sasa badala ya kunishukuru unaamua kuninanga?! Take my advice and thank me later!!!
Ni kweli kabisa unachokisema nimewahi kusikia hivyo lkn pia inasemekana km unajua kuyatumia vzr unakuwa tajiri kupindukia yn unaweza omba kwa ujuzi wako kupitia hayo mayai kufumba na kufumbua almasi hizo hapo.Habari zenu!
Naomba leo nitoe ushuhuda hapa jukwaani. Kwanza nipende kutoa shukurani kwa Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kuniweka hai kwani wengi Sana walitani kuishi ama kupata bahati Kama yangu lakini hajaweza kupata.
Kiu kubwa ya mwanadamu ni kupata mafanikio katika maisha. Wengi tunatamani mafanikio ya kiuchumi kwani bila haya hatuwezi kuheshimika ktk nyanja zingine za kijamii kama ndoa n.k.
Wengi wetu tumekuwa tukipigana kuufuza umasikini bila mafanikio lkn leo naomba kukufumbua watu macho kuhusiana na mayai ya bundi. Nakumbuka nikiwa form mwaka 2010 nilipewa mchongo na mjomba wangu alisema Kama utani. Aliniambia ukipata mayai ya bundi nambie nikuoneshe pesa ilipo.
Aisee kwa vile huwa nina uchu na utajiri niliyasaka sana huko mbungani kwa kweli mungu siyo Athumani mnamo mwezi Kama huu nilipanda kwenye mkuyu mkubwa Sana. Nilishangaa bundi unaruka usawa wangu nikatetemeka kidogo nianguke ila nilivumilia tu. Baada ya kutulia nikaangalia vzr nikapata Kuna mayai mawili yanakaribiana na mayai ya kuku. Aise nilikimbia mpaka centre ya Kijiji nikanunu wembe wa topaz. Nikaenda kutest kweli wembe ukanasa.
Nifupishe stori tu. Nilipeleka akanipeleka Mji wa Kisumu Kenya tukauza KSh 10m tukaja tukabadilisha ila kwa bahati mbaya Sana Mimi nilipata kama 16m za kitanzania tu. Sijui zingine zilienda wapi ata. Kuanzia siku hiyo Sina maisha mabaya sana kwani nilifanikiwa kuanzisha biashara zangu na nimejenga na umri nilionao unaruhusu kabsa.
Namshukuru Mungu
Naona wewe unajua hayo mambo kamanda ila Kuna nyumbu humu wanaona Kama nawatapeliNi kweli kabisa unachokisema nimewahi kusikia hivyo lkn pia inasemekana km unajua kuyatumia vzr unakuwa tajiri kupindukia yn unaweza omba kwa ujuzi wako kupitia hayo mayai kufumba na kufumbua almasi hizo hapo.
Mimi nina connection ya kiota Cha popo yn kwa mtu atakaye kipata hicho kiota anicheki tupige km mil 30 za kitanzania kwa kila kimoja (so km unavyo 10 una milioni 300), nilipewa huo mchongo nikawaambia watu wavisake huko kijijini wakakosa.
Ukikipata hicho kiota hakikisha kama ni kweli kwa kufanya majaribio haya
Chukua hicho kiota (zingatia kipo km cha udongo au km kimetengenezwa kwa magome flani hv na co Cha majani) chukua kitunguu saumu sogeza karibu ya kiota basi hicho kiota kitasogea au chukua saa nzima ya mshale isogeze karibu na icho kiota saa ikisimama basi ndiyo chenyewe we nitafute tupige pesa hiyo connection nimepewa tng mwezi wa kumi mwaka jana Mpaka leo bila bila wazeiya.
Unaweza weka wazi hayo masharti? Maana unaweza letewa shida ikawa mkusanyaji hakufuata masharti baada ya kuwa dili likawa dirisha ikapigiwa mstari kwamba ni utapeli mkuu.Mzee yana masharti yake
Duh thread ipo pg 5.kama kweli kuna sehemu inamabundi hayapungui 200 yanaishi kwenye mti huo huo mayai kibao
Duh thread ipo pg 5.
Inaonekana somo la biology halikuingia.
Bundi ni mnyama anazaa, Ile kuruka sio sifa ya kumfanya awe ndege
Kaka we unaongelea popo yaan bat.sisi tiki kwenye bundi yaan owlDuh thread ipo pg 5.
Inaonekana somo la biology halikuingia.
Bundi ni mnyama anazaa, Ile kuruka sio sifa ya kumfanya awe ndege