Recent content by ssalaf

  1. S

    JamiiForums Tanzania Redio Free Afrika, magazeti na Kiswahili

    mbona tupo wengi sana wa namna hiyo?
  2. S

    JamiiForums Tanzania Tahadhari watumiaji wa tigo!!

    mimi nawashangaa sana 900Mb kwa999 kwasiku lakini 2Gb kwa 6000 kwa wiki not relevant wakuu hata mm nimeshtuka sijui kwa nini Tigo wamefanya mabadiliko haya yasiyo na tija
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kova: Atakaye fanya uhalifu Dar es Salaam Atajeruhiwa au Kuuawa kabisa

    Hata mimi nilitaka kujiuliza vihi hili swala la Escrow nao ni uhalifu? na je hii kauli itatekelezwa na je limefanyika nje ya dar? na je kova analijua hilo .ok jamaa namkubali sana labda atalifanyia kazi hii ngoja tuone.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Fao la kujitoa PPF

    kwani anaye takiwa kuhakikisha pesa inaingia kwenye account yako ppf ni nani mwanachama au wafanyakazi wa mfuko wa jamii husika?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Usafiri Dar - Bagamoyo sasa kwa boti ya kasi

    good.nice.better.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Usafiri Dar - Bagamoyo sasa kwa boti ya kasi

    watanzania wengi huwa tuna amin vitu katika picha .Basi tupia ka picha tafadhali
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kwa anayefahamu insignia-rank za askari wetu atushirikishe

    je lile la mtu mmoja la fid Q lenyewe vyeo vyake vikoje?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Mabenki na mikopo ya biashara kwa wahitimu

    Hawa airtel na wao ni wezi tuu na hii timiza yao nimejaribu kuifuatilia nikaona kuna dalili za wizi kwa mfano mtu unakopa au unalipa deni ili upate mkopo mkubwa zaidi lakini cha ajabu mara meseji za kuthibitisha kuwa umelipa na una qualify kwa mkopo mwingine hazifiki labda mpaka siku mbili na...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi, hivi ni haki allowance kukatwa kodi/ na je kigezo kipi kinatumika?

    huu ni wizi kodi kubwa sana bhana.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi, hivi ni haki allowance kukatwa kodi/ na je kigezo kipi kinatumika?

    huu ni wazi kodi kubwa sana bhana.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Malalamiko: Kampuni ya Tigo mnakera

    yaani hata mm baada tu ya kifurushi kuisha imekua kero yaani nikiongea nao huduma kwa wateja wanasema wanakutumia configuration lakini uki install bado tatizo linakuwa palepale sasa sijui wanafanya makusudi
  12. S

    JamiiForums Tanzania Malalamiko: TIGO Tanzania

    cha wiki toka 8 Gb to 2G na cha siku 1Gb to 900mb
  13. S

    JamiiForums Tanzania Wanaonata baada ya kupata pesa

    Inategemeana na hiyo pesa kaipata vipi?
Back
Top Bottom