leipzig
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 2,766
- 1,716
Unakuta mtu anaishi na kuwa mahusiano na watu kama kawaida lakini baada ya kupata nafuu ya ugumu wa maisha kwa kupata fedha kutokana na ajira au biashara basi ghafla anaanza majidai na kunata.
Wengine anadiriki eti kakusahau au anakununia na hata kukuonyesha roho mbaya,hivi hii hali inatokana na nini?
Wengine anadiriki eti kakusahau au anakununia na hata kukuonyesha roho mbaya,hivi hii hali inatokana na nini?