Recent content by Srombo

  1. S

    Mungu yupo, Moto upo na Pepo ipo (majibu)

    Sayansi tunayoisema ni lazima iweze Ku_prove failure tena kubwa kuhusu kuthibitisha uwepo wa Mungu. Lakini watu kama wewe na wengine wanaona ni rahisi kuamini kuwa Theory ya Evolution ni sahihi wakidai kuwa binadamu wa kwanza alikuwa nyani miaka milioni kadhaa huko nyuma.Je ni lini au baada ya...
  2. S

    Waliotembea kwa mguu kutoka Geita, wapandishwa Kizimbani

    hizo sheria wasome toka wap? kwani mtaala wa Tanzania ume-integrate lini somo la sheria za nchi kwa somo la civics au uraia? wakati hata katiba wewe na ccm yako hamtaki zionekane mkidhani wananchi wakijua vifungu vya sheria ya katiba ya nchi watawa wajibisha. Nina mashaka na uwezo wako wa kufikiri
  3. S

    Waliotembea kwa mguu kutoka Geita, wapandishwa Kizimbani

    Inauma sana kwa kijana mzalendo alietembea kwa miguu kuonyesha hisia kali dhidi ya dhulma, ufisadi, na uozo unaoendelea humu nchini then watawala wanawatia nguvuni na kuwafungulia mashtaka badala ya kuwasikiliza kibusara na kuwapa utaratibu waliotakiwa kuufuata. Lakini naomba serikal ya...
  4. S

    Swali la hesabu

    acha wehu unatuletea mambo gani
  5. S

    Prof. Lipumba akerwa na Zitto Mtwara

    hivi na ile ya siku mnayoita ya valentine ni rangi ya aina gani? Achana na hizo akili za jirani
  6. S

    Mwalimu Nyerere hadi anafariki alikuwa hafahamu kuendesha gari

    Mada zingine zinachekesha! sasa Nyerere kutoendesha gari ni shida? Isitoshe mtu anawezaje kujua kuendesha trekta but at the same time ashindwe kuendesha gari?! au kwa muanzisha mada trekta siyo gari? [ a tractor is not automobile/vehicle?]
  7. S

    Tanzania yatoa shule mbili (2) bora za sekondari Africa katika 50 bora

    Hivi mbona watu mnatokwa povu bila msngi wowote, mlidhani kupatikane kwenye list hiyo ya top 50 community school wakati kila kukicha elimu ya Tanzania inabakwa!!!!
  8. S

    Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

    si ndio hawarudi!!!!!!!!!!!!!!!!
  9. S

    Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

    juma nkamia hatorudi kwasababu zifuatazo: 1. Si mkazi wa jimbo na wilaya ya CHEMBA kwa sasa ingawa hapa jf mpo mtakaoona hiyo sio sababu lakini watu wa Kondoa kusini [Chemba] ni sababu. 2. Upuuzi na njama alizofanya ili umeme usielekezwe kwenye tarafa za FARKWA na KWAMTORO na badala yake...
  10. S

    UKAWA wailegeza CCM, leo wapo Kondoa

    Vyama vya cuf, cdm na undp vinaendelea na mkutano hivi sasa ktk kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa huku wajumbe wa vyama vilivyounda ukawa vikifafanua kwa nyakati tofauti ufisadi uliokubuhu unaofanywa ba ccm na kuiacha kondoa ikiwa hoi kimaendeleot toka ilipopata hadhi ya kuwa wilaya...
  11. S

    Mwalimu wa Mathematics na Computer anatafuta kazi

    Mwalimu wa Mathematics kwa shule ya sekondari (o-level & A-level) na pia ana ujuzi wa kufundisha computer anatafuta kazi. Kwa yeyote mwenye kuweza kumsaidia aweke contacts au ani PM.
  12. S

    Umewahi kuibiwa nini ukaumia sana rohoni? Mi niliibiwa hivi

    hii kama vile ilikuwa mazengo sec
  13. S

    Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

    higherlander sijapata kuona mtu upeo mdogo wa kiakil kama wewe, waarabu hawakuja tanganyika kama watawala hivo ni ngumu kujikita kujenga mashule kwan mtawala alikuwa hakubali ambaye ni mkolon mjeruman na aliyefuata baada yake, waarabu walikuwa wafanyabiashara na culture ya mfanyabiashara...
Back
Top Bottom