Prof. Lipumba akerwa na Zitto Mtwara

Prof. Lipumba ambaye ni wenyekiti wa chama cha wananchi Cuf amekerwa na tabia isiyo ya kinidhamu wala staha iliyofanywa na mbunge wa kigoma kasikazini Bwana Zitto Kabwe,


Katika kikao cha dharula alichokiitisha usiku ule wa mkutano baada ya kumaliza kuhutubia, alitufokea viongozi wa Mtwara kuhusu alichokiona katika mkutano, alisema aliwaona wanachama wa ACT-Tanzania wakiwa na mavazi yao na bendera zao akahoji kwanini tuliwaalika wakaja wakiwa na bendera zao na kuzichomeka hewani?

Mmoja wetu aliinuka na kujibu vizuri kuwa wale vijana tuliwakamata baada ya kuwaona na bendera hizo katika viwanja vyetu, tulipotaka kuwapeleka polisi mmoja wao aliyejitambulisha kwa jina la Kaila alisema yeye ni afsa habari wa chama chao taifa,

Akadai kuwa walialikwa na zitto kuhudhuria mkutano ule,na wamekuja kwa gari lake alilowapatia waje nalo, ‘’Mh Mwenyekiti tunakuomba radhi sana kwa uliyoyaona pale uwanjani, wale vijana hatukuwaita sie, aliyewaleta toka dar es salaam ni swahiba wako uliyeongozana nae Zitto Kabwe, hata gari walilokuja nalo ni lake kawapatia’’

Lakini pia prof. lipumba alidai kuwa ‘’zitto hana heshima hata kidogo kwa sababu tumemwalika sisi katika jukwaa la chama chetu, amekosa jukwaa la kuhutubia siku nyingi, leo tumempa fadhila lakini ametufanyia vitimbi, amekodi mpaka waandishi wa habri wake bila hata kuniambia, kumbe hata wafuasi wake amewagharamikia waje wakiwa na bendera na mavazi ya chama kingine katika mkutano wetu”?alihoji Prof. Lipumba

‘Mbona asitumie jukwaa la hicho chama cha wapambe wake? ikiwa ana unafiki wa namana hii basi hafai kupewa hifadhi kabisa’ alimalizia Prof. Lipumba

Tarehe 31/12/2014 chama cha wananchi cuf kilifanya mkutano wake katika viwanja vya mashujaa hapa mjini Mtwara ambapo zitto kabwe alikuwa mgeni mwalikwa, pia watu wanaodaiwa kuwa wafuasi wa zitto walivamia mkutano huo wakiwa na bendera na mashati yenye chama kingine ambacho hakikuwa na makubaliano ya kufanya mkutano pamoja na cuf..

Capture_1.JPEG
una VATAR ngapi mpaka sasa? maana hii umeifungua maalum kwa ajili hii.. halafu unajichangia maoni kujiunga mkono. kwa mtu mgeni asingeweza kuja na habar kama hii
 
Hivi Pasco umechangia au waweka likes tu. Naona una likes kwenye 'positives' na 'negatives', hadi sielewi msimamo wako...
 
Last edited by a moderator:
it is all nonsensical. Mwenye akili ndogo tu anatosha kuelewa what is the motive ya thread hii. Why shiould a clever man like zitto who his commitee is able to analyse more important and crotical issue like escrow and all the hiden secrecy behind it fail to see the logic of doing that. I even comment to such stupid thread simply because i want to but haistahili hata kujibiwa na all who positively support it are the same insanes.

Mnajua party politics zitatuweka pabaya has nchi yetu hii. Nashindwa kuelewa vijana badala ya kujadili hoja za msingi za maendeleo, you are busy with hayana tija kabisa. Kwa hurka na uwezo wa ya zito hafanyi politics kwa ajili yake kama yeye na tumeliona hilo tangu ameanza politics nyie ndio wa kwanza kuingia ndani yake na kujifanya ninyi ni zitto!!! Pit all of you. Zitto dont listen to nonsensical urguments be focused.

Asante mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Naomba niwaite zaidi Mchambuzi Waberoya Kimbunga Mbepo yamba GalaxyS3 THE BIG SHOWn (alwatan)

Halafu naomba turudi kule mahali kwetu tukajadiliane kiutu uzima.

wewe mpumbavu niliishakueleza do not mention my name, acha upuuzi, sasa hiyo story wewe kwa akili zako umeiamini na unaona iko sawa? ukiambiwa nimelala na mama yako utakimbilia kumuita waberoya??

ebu tuheshimiane bana, nimeishakukataza kuita jina langu au kumention kwenye vitu nonsense kama hivi

wewe ka akili yako unaona kabisa hilo swala ni kweli? hivi wewe mwenzetu una ubongo gani?

please unataka mwenyewe kuropokewa hovyo, story hiyo sio standard ya JF ni standard ya wenye ubongo mdogo kama wewe

i told u grow up, get life!!

mtafute Lipumba na zito waulize kisha uhoji integrity za hao watu

chuki zako kwa zitto zinapofusha ubongo wako, mtu wa hadhi yako hawi gullible kama wewe

try to hide that plz. Zitto sio saizi yako na hutaweza kumshusha humu JF

kwa akili za kwaida kabisa utakuwa mchawi wewe, huwezi kumchukia mtu kiasi hicho. wenzako tunachukia na anapopatia nasifiwa. sasa wewe story za vijiweni unaita watu na akili zao waje kuchangia uzi ambazo hauna kichwa wala miguu

unaendelea kujidhalilisha,

msaidieni huyu jamani
 
Ni rahisi sana kuijua ngozi halisi ya mtu anaejifanya amevaa ngozi ya kondoo. Maada yenyewe imeanzishwa na new comer kama hilo hujaliona hata kuhoji source ya taarifa yenyewe?
MKUU chamviga shikamoo...habari ya siku nyingi? Lini utavua magamba uungane na wapigania ukombozi wa pili wa taifa letu?
 
Chuki kwa ACT ni upuuzi wa mijitu isiyo fahamu maana pana ya demokrasia! Ni mijitu ya chadema ambayo inataka demokrasia isikue hapa Tanzania! Iacheni ACT kama itakataliwa na Watanzania ila sio wachawi kuipinga na kuichulia,kwani ninyi chadema uhalali wa kisiasa mnatoa wapi ACT wasiwe nao!???? Acheni ujinga wenu Chadema
ACT wanafirimbana wenyewe.....
 
Hamjakutana na maraisi madikteta, usingekuwa unaropoka hapa ovyo, unasema nimuulize Wasira kwani yeye ndio ccm? Shukuruni Kikwete sio dicteta.

Bwanamdogo hili siyo jukwaa la vitisho , chunga sana maandishi yako .
 
wewe mpumbavu niliishakueleza do not mention my name, acha upuuzi, sasa hiyo story wewe kwa akili zako umeiamini na unaona iko sawa? ukiambiwa nimelala na mama yako utakimbilia kumuita waberoya??

ebu tuheshimiane bana, nimeishakukataza kuita jina langu au kumention kwenye vitu nonsense kama hivi

wewe ka akili yako unaona kabisa hilo swala ni kweli? hivi wewe mwenzetu una ubongo gani?

please unataka mwenyewe kuropokewa hovyo, story hiyo sio standard ya JF ni standard ya wenye ubongo mdogo kama wewe

i told u grow up, get life!!

mtafute Lipumba na zito waulize kisha uhoji integrity za hao watu

chuki zako kwa zitto zinapofusha ubongo wako, mtu wa hadhi yako hawi gullible kama wewe

try to hide that plz. Zitto sio saizi yako na hutaweza kumshusha humu JF

kwa akili za kwaida kabisa utakuwa mchawi wewe, huwezi kumchukia mtu kiasi hicho. wenzako tunachukia na anapopatia nasifiwa. sasa wewe story za vijiweni unaita watu na akili zao waje kuchangia uzi ambazo hauna kichwa wala miguu

unaendelea kujidhalilisha,

msaidieni huyu jamani
Mimi nimewaita tu, sijasema hiyo story ni kweli au si kweli.
Nimewaita tu. Hakuna sababu za kutukana, nafahamu kipindi hiki una wakati mgumu. Vumilia mkuu

Narudia nimewaita sijasema chochote
 
Ni rahisi sana kuijua ngozi halisi ya mtu anaejifanya amevaa ngozi ya kondoo. Maada yenyewe imeanzishwa na new comer kama hilo hujaliona hata kuhoji source ya taarifa yenyewe?
Mada zote mlikuwa hamtokei, na wala sijasema hii mada ni kweli au si kweli. Nimewaalika nijue kama bado mpo jamvini.

Nimewaalika tu wakuu.
 
Hivi Pasco umechangia au waweka likes tu. Naona una likes kwenye 'positives' na 'negatives', hadi sielewi msimamo wako...

ukimgusa zitto au lowasa basi ujue moja kwa moja umemgusa pasco , ana ' maslahi ' mapana sana na watu hawa !
 
Last edited by a moderator:
wewe mpumbavu niliishakueleza do not mention my name, acha upuuzi, sasa hiyo story wewe kwa akili zako umeiamini na unaona iko sawa? ukiambiwa nimelala na mama yako utakimbilia kumuita waberoya??

ebu tuheshimiane bana, nimeishakukataza kuita jina langu au kumention kwenye vitu nonsense kama hivi

wewe ka akili yako unaona kabisa hilo swala ni kweli? hivi wewe mwenzetu una ubongo gani?

please unataka mwenyewe kuropokewa hovyo, story hiyo sio standard ya JF ni standard ya wenye ubongo mdogo kama wewe

i told u grow up, get life!!

mtafute Lipumba na zito waulize kisha uhoji integrity za hao watu

chuki zako kwa zitto zinapofusha ubongo wako, mtu wa hadhi yako hawi gullible kama wewe

try to hide that plz. Zitto sio saizi yako na hutaweza kumshusha humu JF

kwa akili za kwaida kabisa utakuwa mchawi wewe, huwezi kumchukia mtu kiasi hicho. wenzako tunachukia na anapopatia nasifiwa. sasa wewe story za vijiweni unaita watu na akili zao waje kuchangia uzi ambazo hauna kichwa wala miguu

unaendelea kujidhalilisha,

msaidieni huyu jamani
Mkuu Zitto anaingiaje hapa? Mimi sijamtaja wala sijasema neno kuhusu mada. Nilichofanya ilikuwa ku checki nanyi kama mpo jamvini! hilo tu.

Rudi ukaangalie bandiko langu, halina neno isipokuwa mwaliko, tena nikasisitiza turudi kule kwa utu uzima maana hapa mtajichafua.

Tafadhali usiniwekee maneno, sijamtaja Zitto, sina chuki na Zitto au wapambe wake. Teh teh teh mkuu, kama wewe una wakati mgumu kweli, hujui hatima ya mzee kisiasa! si kuw aunamlilia mzee, unaililia nafsi yako na hilo tunalielewa na kkulitambua. Ajira siku hizi tabu na wala hatupendi kuona mtu anapoteza yake.

Mkuu masalaam,
wasalimie huko nyumbani
 
Hakuna kitu kibaya kama kukataliwa. Lazima utafanya mambo hata ya uwendawazimu katika kujaribu kurudisha heshima
 
Mkuu Zitto anaingiaje hapa? Mimi sijamtaja wala sijasema neno kuhusu mada. Nilichofanya ilikuwa ku checki nanyi kama mpo jamvini! hilo tu.

Rudi ukaangalie bandiko langu, halina neno isipokuwa mwaliko, tena nikasisitiza turudi kule kwa utu uzima maana hapa mtajichafua.

Tafadhali usiniwekee maneno, sijamtaja Zitto, sina chuki na Zitto au wapambe wake. Teh teh teh mkuu, kama wewe una wakati mgumu kweli, hujui hatima ya mzee kisiasa! si kuw aunamlilia mzee, unaililia nafsi yako na hilo tunalielewa na kkulitambua. Ajira siku hizi tabu na wala hatupendi kuona mtu anapoteza yake.

Mkuu masalaam,
wasalimie huko nyumbani

Pole sana, I am an Engineer, acha kuchekesha watu na hapa jamvini nimeishatumia sana jina langu kwa muda mrefu na baadae kuomba kubadilisha, usisahau pia ni Lecturer UDSM

ona sasa

likely niko hu,u tangu 2008, umeingia 2010

sorry hutaona nasoma post zako wala kukujibu unaingia directly kwa I.L
 
Hivi Pasco umechangia au waweka likes tu. Naona una likes kwenye 'positives' na 'negatives', hadi sielewi msimamo wako...

Dah! Mkuu hiyo inamanisha Pasco yuko neutral. +ve + -ve = 0 (neutral).
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom