Hakuna chuo kitakacho kuza CV yako hapa Tanzania au Africa kiujumla, vyuo hivyo ni vichache sana kwanza hapa TZ hakuna mtu yuko busy hata kusoma hiyo CV yako. Ukitaka chuo kikubebe nenda Harvard, Oxford, MIT, Yale na Stanford huo ndio ukweli mchungu.
Hivyo vyuo nilivyokutajia ukisoma tu ni CV...
Hiyo elimu unayosema wewe ni ndugu yako wa damu mimi elimu ni baba yangu mzazi na hakuna sehemu nimekwambia uikache elimu bali ninekwambia kitu ambacho ukichelewa kukifahamu mtaani utapata tabu sana kama unanibishia subiri umalize hiko chuo unachoamini ni kikali kitakuza CV yako uje mtaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.