Wewe ni beginner, endelea na mozoezi baada ya mwezi na nusu utakua unaskia Raha baada ya kufanya mazoezi. hasa kwa sisi runners huwa tunafeel burudani sana baada ya tizi.
Nyinyi masoja mliovalia kiraia 29 na 30 October mlituingiza chaka, mlikua mstari wa mbele kuhamasisha tukaungana huku tukilindwa na wenzenu waliovaa bakabaka, bila kutarajia kama filimbi zitawaita makambini.
Usiku wa October 30 kuamkia 31 filimbi zilipigwa makambini masoja wote mlikusanywa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.