Umenena yote yani hii hali omba isikukute unaweza tamani ujichimbie shimo ujifukie inauma Sana ni jana tu nimetoka kuambiwa nazeekea nyumbni sina Msaada wakati alipoumwa mimi ndo nlifua kila kitu kumuogesha mtoto wake anayemuona wa kumsaidia alikuwa na kinyaa hta kutupa pampers haya mambo...
Kuna raha sana kuwa na mwanaume asiyetumia kilevi haswa na wewe ukiwa hutumii me ni mnywaji ila katika wanaume nliowahi kudate nao sijawahi kupata anayetumia kilevi natamani sana namimi niache japo inaniwia vigumu kila nkiacha narudia aisee wana raha Sana hawa wasiotumia kilevi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.