Recent content by Spliffcharm

  1. Spliffcharm

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mkopo wa 10% Halmashauri Kigamboni: Mke wangu alipangiwa 9.6M lakini mwisho anaambiwa atapewa 3M – Je, hii ni kawaida?

    Nini Maana ya platform kama Jamii forum? Mindset ya namna gani hii. Unachukulia vitu personal. Kuna ubaya kuomba experience ya watu wengine? People like you are a shame to this nation. Mnadiscourage sana watu maskini. Umeona comment yangu nikisema kwamba hakuna sehemu ya kureview au kucomment...
  2. Spliffcharm

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mkopo wa 10% Halmashauri Kigamboni: Mke wangu alipangiwa 9.6M lakini mwisho anaambiwa atapewa 3M – Je, hii ni kawaida?

    Asante sana mkuu kwa maelezo haya. Kwa kweli yana mantiki na nimeelewa kwamba siyo kila mwombaji lazima apewe kiwango kilekile alichoomba. Ninaelewa kabisa kwamba mradi unaweza kupitia Kamati ya Mikopo ya Kata na baadaye Kamati ya Wilaya, ambapo wanaweza kuangalia uhalisia wa business plan...
  3. Spliffcharm

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mkopo wa 10% Halmashauri Kigamboni: Mke wangu alipangiwa 9.6M lakini mwisho anaambiwa atapewa 3M – Je, hii ni kawaida?

    Asanteni sana wakuu kwa ushauri wenu. Kuna jambo muhimu ambalo labda sikuwa nimelieleza vizuri kwenye post yangu ya mwanzo. Hii si biashara ambayo inaanza kutoka sifuri. Biashara tayari ipo na inaendelea kufanya kazi, na kwa sasa ina frame/stalls mbili zilizounganishwa pamoja. Mimi nimekuwa...
  4. Spliffcharm

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mkopo wa 10% Halmashauri Kigamboni: Mke wangu alipangiwa 9.6M lakini mwisho anaambiwa atapewa 3M – Je, hii ni kawaida?

    Habari wakuu, Naomba ushauri kutoka kwa wenye experience na mikopo ya 10% inayotolewa na Halmashauri, hasa wale waliowahi kupitia mchakato huu. Wife ni mmoja wa wanakikundi cha watu watano, na aliomba mkopo kupitia Halmashauri ya Kigamboni. Kwa upande wake, aliomba kiasi cha Tsh 9.6 milioni...
  5. Spliffcharm

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi amshambulia Mwalimu darasani akipinga kupewa adhabu kwa kutohudhuria kipindi

    " walimu wengine na wanafunzi wakishindwa kuingilia kati mapema hadi pale mwalimu alipolazimika kumuomba mwanafunzi huyo msamaha ili kuokoa maisha yake." Hii haimake sense kabisa. Huyu Mwalimu atakua na shida. angekua ni mtu aliyenyooka i believe lazima walimu na wanafunzi wenzie wangeintervene.
  6. Spliffcharm

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Wafanyakazi wa Wasafi Radio wamegoma?

    Hata sifahamu mkuu, Hajareveal wapi anakwenda. Kuna jambo behind the scenes.
  7. Spliffcharm

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Wafanyakazi wa Wasafi Radio wamegoma?

    Sports Analyst George Ambangile. One of my favorite, ameondoka wasafi rasmi. Nikiona biashara inaanguka hivi roho inaniuma lakini natamani sana kujua sababu for the purpose of learning ase.
  8. Spliffcharm

    JamiiForums Tanzania Makato NMB mkononi to Lipa namba

    Asee Wameanza lini? Mbona hua ni free.
  9. Spliffcharm

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kai Havertz njee ... !! Jamaa nilitegemea afanye maajabu sana mwaka huu. Anways Arteta amepewa second chance ya kutafuta LW au striker atakaefit. Tunaweza tusisajili yoyote kazi kweli kweli.
  10. Spliffcharm

    JamiiForums Tanzania Dar kumeongezeka sherehe za wakina dada kuwaalika mashoga

    Mbaya zaidi Viongozi Dodoma kule ndo wanaongoza kuwala hawa watu ase. Nilishashuhudia kabisa. Na vijana wanapenda sana shortcuts especially kutoka uswahilini wanaona wauze kinyeo kwa viongozi na wazungu watoboe. A very broken society with negative mindset. Ukisema udeal nayo kwenye family level...
  11. Spliffcharm

    JamiiForums Tanzania Kwanini Job Ndugai Wanalazimisha tumuite Hayati lakini Augustino Ramadhani wanataka tumuite Marehemu?

    Ndivyo wabongo tulivyo. Judge a man by one mistake for all the good he has done in this country. Tunasahau sana. A soldier who fought for his country. A jurist who reformed its courts. A priest who healed its spirit. From the barracks to the bench, from Zanzibar’s Chief Justice at 32 to the...
  12. Spliffcharm

    JamiiForums Tanzania Kwanini Job Ndugai Wanalazimisha tumuite Hayati lakini Augustino Ramadhani wanataka tumuite Marehemu?

    Kaka kudos kwako kwa kutambua mchango wa the late Augustino Ramadhani. A man of integrity. 1. Military – Brigadier General in the TPDF. 2. Judiciary – Chief Justice of Tanzania. 3. Church – Bishop of Zanzibar in the Anglican Church. Alikua amenyooka sana ase.
  13. Spliffcharm

    JamiiForums Tanzania Ukiambiwa utengeneze first 11 ya muda wote katika historia ya EPL kuanzia mwaka 2000 utaweka wachezaji gani?

    Hakuna forward atatokea Premier league kama Thiery Henry kwa miaka hii ambayo imetajwa. He was unstoppable, Strength, speed, technicality na precision. Wote tuliowahi kuangalia mpira zama hizi hakuna kama Titi, sio salah wala Drogba no one comes close. Na sio mimi wachezaji wote wa premier...
Back
Top Bottom