Sports Analyst George Ambangile. One of my favorite, ameondoka wasafi rasmi. Nikiona biashara inaanguka hivi roho inaniuma lakini natamani sana kujua sababu for the purpose of learning ase.
Kai Havertz njee ... !! Jamaa nilitegemea afanye maajabu sana mwaka huu. Anways Arteta amepewa second chance ya kutafuta LW au striker atakaefit. Tunaweza tusisajili yoyote kazi kweli kweli.
Mbaya zaidi Viongozi Dodoma kule ndo wanaongoza kuwala hawa watu ase. Nilishashuhudia kabisa. Na vijana wanapenda sana shortcuts especially kutoka uswahilini wanaona wauze kinyeo kwa viongozi na wazungu watoboe. A very broken society with negative mindset. Ukisema udeal nayo kwenye family level...
Ndivyo wabongo tulivyo.
Judge a man by one mistake for all the good he has done in this country. Tunasahau sana.
A soldier who fought for his country.
A jurist who reformed its courts.
A priest who healed its spirit.
From the barracks to the bench, from Zanzibar’s Chief Justice at 32 to the...
Kaka kudos kwako kwa kutambua mchango wa the late Augustino Ramadhani. A man of integrity.
1. Military – Brigadier General in the TPDF.
2. Judiciary – Chief Justice of Tanzania.
3. Church – Bishop of Zanzibar in the Anglican Church.
Alikua amenyooka sana ase.
Hakuna forward atatokea Premier league kama Thiery Henry kwa miaka hii ambayo imetajwa. He was unstoppable, Strength, speed, technicality na precision. Wote tuliowahi kuangalia mpira zama hizi hakuna kama Titi, sio salah wala Drogba no one comes close. Na sio mimi wachezaji wote wa premier...
Rice utasema katoka kwenye Academy, utasema na yeye ni hale end asee. Jamaa anapassion sana na team. Nampenda Odegard ila natamani sana Huyu mwamba angekula ucaptain. What a player ase. Ananikumbusha Cesc na Viera.
Freedom of speech mzee. Wakati mwengine ndio lugha nyepesi kuweza elezea jambo lake. Ishi na kufanya unavyopenda wewe ila abadan usipangie watu maisha. Very poor thinking.
Kwenye hili kwa kweli ndugu zetu waislamu wametuzidi sana. Naturally wanaume tumeimbiwa tamaa, sio mchungaji sio sheikh wala sio mzee wa kijiji, ukipita mzigo hapo mbele kama urijali upo lazima upige popo mbili. Dressing code ya kanisani kwa wanawake ni nguo za heshima tena ndefu kabisa imekua...
Nafikiri he is resting our vital players kwa ajili ya game ya Madrid. Second Half lazima Rice, White & Merino wapumzike for Timber,Partey and Odegaard.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.