Recent content by Spliffcharm

  1. Spliffcharm

    Tetesi: Wafanyakazi wa Wasafi Radio wamegoma?

    Hata sifahamu mkuu, Hajareveal wapi anakwenda. Kuna jambo behind the scenes.
  2. Spliffcharm

    Tetesi: Wafanyakazi wa Wasafi Radio wamegoma?

    Sports Analyst George Ambangile. One of my favorite, ameondoka wasafi rasmi. Nikiona biashara inaanguka hivi roho inaniuma lakini natamani sana kujua sababu for the purpose of learning ase.
  3. Spliffcharm

    Makato NMB mkononi to Lipa namba

    Asee Wameanza lini? Mbona hua ni free.
  4. Spliffcharm

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kai Havertz njee ... !! Jamaa nilitegemea afanye maajabu sana mwaka huu. Anways Arteta amepewa second chance ya kutafuta LW au striker atakaefit. Tunaweza tusisajili yoyote kazi kweli kweli.
  5. Spliffcharm

    Dar kumeongezeka sherehe za wakina dada kuwaalika mashoga

    Mbaya zaidi Viongozi Dodoma kule ndo wanaongoza kuwala hawa watu ase. Nilishashuhudia kabisa. Na vijana wanapenda sana shortcuts especially kutoka uswahilini wanaona wauze kinyeo kwa viongozi na wazungu watoboe. A very broken society with negative mindset. Ukisema udeal nayo kwenye family level...
  6. Spliffcharm

    Kwanini Job Ndugai Wanalazimisha tumuite Hayati lakini Augustino Ramadhani wanataka tumuite Marehemu?

    Ndivyo wabongo tulivyo. Judge a man by one mistake for all the good he has done in this country. Tunasahau sana. A soldier who fought for his country. A jurist who reformed its courts. A priest who healed its spirit. From the barracks to the bench, from Zanzibar’s Chief Justice at 32 to the...
  7. Spliffcharm

    Kwanini Job Ndugai Wanalazimisha tumuite Hayati lakini Augustino Ramadhani wanataka tumuite Marehemu?

    Kaka kudos kwako kwa kutambua mchango wa the late Augustino Ramadhani. A man of integrity. 1. Military – Brigadier General in the TPDF. 2. Judiciary – Chief Justice of Tanzania. 3. Church – Bishop of Zanzibar in the Anglican Church. Alikua amenyooka sana ase.
  8. Spliffcharm

    Ukiambiwa utengeneze first 11 ya muda wote katika historia ya EPL kuanzia mwaka 2000 utaweka wachezaji gani?

    Hakuna forward atatokea Premier league kama Thiery Henry kwa miaka hii ambayo imetajwa. He was unstoppable, Strength, speed, technicality na precision. Wote tuliowahi kuangalia mpira zama hizi hakuna kama Titi, sio salah wala Drogba no one comes close. Na sio mimi wachezaji wote wa premier...
  9. Spliffcharm

    Jina zuri la mtoto wa kiume

    AZRIEL OR ADRIEL
  10. Spliffcharm

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Rice utasema katoka kwenye Academy, utasema na yeye ni hale end asee. Jamaa anapassion sana na team. Nampenda Odegard ila natamani sana Huyu mwamba angekula ucaptain. What a player ase. Ananikumbusha Cesc na Viera.
  11. Spliffcharm

    TANZIA Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamo-Hanga na dereva wake wafariki dunia

    Freedom of speech mzee. Wakati mwengine ndio lugha nyepesi kuweza elezea jambo lake. Ishi na kufanya unavyopenda wewe ila abadan usipangie watu maisha. Very poor thinking.
  12. Spliffcharm

    Kwa sasa Makanisa hayana tofauti na Kumbi za starehe

    Kwenye hili kwa kweli ndugu zetu waislamu wametuzidi sana. Naturally wanaume tumeimbiwa tamaa, sio mchungaji sio sheikh wala sio mzee wa kijiji, ukipita mzigo hapo mbele kama urijali upo lazima upige popo mbili. Dressing code ya kanisani kwa wanawake ni nguo za heshima tena ndefu kabisa imekua...
  13. Spliffcharm

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nafikiri he is resting our vital players kwa ajili ya game ya Madrid. Second Half lazima Rice, White & Merino wapumzike for Timber,Partey and Odegaard.
Back
Top Bottom