Makato NMB mkononi to Lipa namba

Makato NMB mkononi to Lipa namba

Sasa hivi lipa namba inaanza kukosa maana. Nililipa kutoka voda kwenda nmb lipa, ni heri kutoa kwa 🏧 tu. Makato makubwa sana.
 
Wiki ya ya pili sasa nilikua nalipa kwenda Mixx by yass ilikua 84k ilitoka kama ilivo ila nikakuta na balance -2600 kufatilia nikakuta ni makato ya masterpass purchase hayo.
 
Wiki ya ya pili sasa nilikua nalipa kwenda Mixx by yass ilikua 84k ilitoka kama ilivo ila nikakuta na balance -2600 kufatilia nikakuta ni makato ya masterpass purchase hayo.
Hatari sana mkuu sio kama zamani ilikua free
 
Ni bora kutumia prepaid card haina makato
 
Asee Watanzania hatuna pa kuponea ukichuchumaa kipondo ukisimama kipondo hakuna wakutusemea. Watu wako kazini tuliwe mbele na nyuma hakuna wa kujali.
 
Sasa hivi lipa namba inaanza kukosa maana. Nililipa kutoka voda kwenda nmb lipa, ni heri kutoa kwa 🏧 tu. Makato makubwa sana.

Lipa namba ni tamu sana ukiishia kwenye mobile money tu. Ukiingiza banks tu kwenye lipa namba unaumia
 
Wakuu hii Makato NMB mkononi to Lipa namba ya Voda yameanzia kwangu tu au ni kwa kila mtu.Juzi nimefanya muamala wa wa laki na 50 wamenikata almost 5,000 wakati kabla ya hapo nikilipa NMB kwenda lipa namba ya voda hua ni free.Leo nimelipa tena 10,000 wamenikata 1,000 hii imekuwaje wakuu naombeni muongozo please🙏😁.
Je, umejiunga na huduma ya spend to save? Maana kama umejiunga (pengine bila kuelewa vizuri inavyofanya kazi), kwa kila muamala unaofanya kuna fedha inakatwa kuendana na % ulizoweka wewe. Fedha hizo unawekewa kwenye kibubu chako
 
Lipa namba ni tamu sana ukiishia kwenye mobile money tu. Ukiingiza banks tu kwenye lipa namba unaumia
Sasa kwa nini wakaweka lipa namba za nmb na crdb kama hakuna uwezekano wa ku-merge mobile money na banks kwa malipo madogo?
 
Sasa kwa nini wakaweka lipa namba za nmb na crdb kama hakuna uwezekano wa ku-merge mobile money na banks kwa malipo madogo?

Wameweka kwa sababu wasipitwe na wakati. Hata wao inawagharimu maana mitandao ya simu sio yao. Hivyo lazima hayo ma bank yawalipe fee makampuni ya simu kwa wao kutumia technology yao.. ndio maana wanakata wateja wa bank hizo hela kufidia hela za kuwalipa
 
Wakuu hii Makato NMB mkononi to Lipa namba ya Voda yameanzia kwangu tu au ni kwa kila mtu.Juzi nimefanya muamala wa wa laki na 50 wamenikata almost 5,000 wakati kabla ya hapo nikilipa NMB kwenda lipa namba ya voda hua ni free.Leo nimelipa tena 10,000 wamenikata 1,000 hii imekuwaje wakuu naombeni muongozo please🙏😁.
Inasikitisha sana ,makato hayapo realistic ,unamtumia mtu eflu 2 via simbanking wanakukata elfu 2.
 
Je, umejiunga na huduma ya spend to save? Maana kama umejiunga (pengine bila kuelewa vizuri inavyofanya kazi), kwa kila muamala unaofanya kuna fedha inakatwa kuendana na % ulizoweka wewe. Fedha hizo unawekewa kwenye kibubu chako
unajitoaje mkuu? maana nahisi wametuingiza bila ridhaa
 
soma tena ulichokinukuu
Ndio hio huduma ya spend to save ipo nmb tena kwa nmb mkononi ambae anaweza kuiunga na kujiondoa ni wewe unaetumia nmb mkononi ila bank hawawezi kukuunga pasipo wewe kujua na uzuri wa hio spend to save zile ni pesa zako zinakatwa kulingana na kiasi cha asilimia ulichoweka kwenye spend to save kwa kila muamala na hata ukitaka kujitoa pesa zako zote ulizokatwa kutokana na spend to save zinarejeshwa kwenye acc yako
 
Back
Top Bottom