Recent content by spinderella

  1. spinderella

    Mwanamke kupata mimba pasipo ridhaa ya mwanaume liwe kosa la jinai

    Yaani hawaelewi kabisa maana ya mzunguko. Mtu anataka iangukie tarehe hiyo hiyo kila mwezi badala ya kuzingatia interval kati ya period moja na nyengine.
  2. spinderella

    Hongera Rwanda kwa kubadili muda wa kazi Ili kuwapa watoto muda wa kupumzika. Tanzania tunalo la kujifunza

    Mwaka mmoja unatakiwa upunguzwe lakini sio kwenye primary level. Inatakiwa Advance level iwe mwaka mmoja tu unatosha.
  3. spinderella

    Manjonjo ya watu wanayo yaweka kutokana na katuni za Tom & Jerry

    Tom ni mzee wa ideas, hakomi[emoji28].
  4. spinderella

    Manjonjo ya watu wanayo yaweka kutokana na katuni za Tom & Jerry

    Mjomba yake alikuwa ni Uncle Pecos na guitar lake.
  5. spinderella

    Manjonjo ya watu wanayo yaweka kutokana na katuni za Tom & Jerry

    Cousin muscles anaitwa. Jerry aliwahi kumuandikia barua ili aje kumtia adabu Tom. Dear cousin muscles, I'm having serious trouble with Tom. Need your help at once. Jerry. Alivyowasili sasa mziki wake, acha kabisa [emoji1787][emoji1787]
  6. spinderella

    Tahadhari: Kuwa makini na mtu anayeomba simu yako atumie

    Mm nilichoelewa ni kwamba mleta mada ni mtaalam wa hiyo michezo ya kuibia watu kupitia simu zao, ila ameamua kuungama na kutuonya. This is his way of confessing as far as I'm concerned.
  7. spinderella

    Ukitaka kwenda kuishi Marekani inabidi ujipange

    Ilikuwa ni lottery ya mwaka gani and what was your case number if you don't mind.
  8. spinderella

    Mke kamkimbia jamaa yangu

    Duh kama mnada vile. So ng'ombe akauzwa to the highest bidder. Sasa ubabe wote huo mnashindwaje kumlisha mtoto wa watu nyama daily kama anavyotaka?
  9. spinderella

    Mke kamkimbia jamaa yangu

    Nonsense! Basi hapo mpinzani wenu kafanya counter attack yenye akili na amesha score.
  10. spinderella

    Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

    Mkuu naona umekerwa mno na hiyo " walking carcass" pole sana. Ila kwa upande wangu naona kama umechemka. Post #5 aliyesema hivyo alikuwa katika kumuonya mtoa mada kwamba asijisahau kwamba naye pia atakufa na sio kwamba amemuita Marehemu "walking carcass". So take a deep breath and relax!
Back
Top Bottom