Recent content by spiderzweb

  1. S

    Nimesikitishwa na kufadhaishwa sana na msimao wa baadhi ya masheikh juu ya swala la gesi Mtwara

    Huyo unaemwita Shekh hata hajitambui yeye mwenyewe, na mwaka huu BAKWATA wapo pagumu nahatima yao imefikia mwisho, hadi haowanaojipendekeza kwao wanawakataa sijajua watajifichia wapi...heheheee :target::cheer2::cheer2::target:
  2. S

    Mashahidi kesi ya Ponda wajichanganya

    Hizi kejeli na matusi mnayoyatoa iko siku you'll pay for it, ila we si wa kwanza kutoa kejeli na matusi hivyo sikulaumu umekua ukikua ukisikia waislam watanzania wenzio wakitukanwa na wazee wako nae ukarithi. Besides, vilivyotajwa hapo juu ni miongoni mwa vile Kova alivyosema vinahatarisha...
  3. S

    CUF Wajipanga kufanya uchochezi Mtwara kesho

    Blahblahblah...haakuna jipya, picha ileile iliyoonekana kipindi cha kumng'oa mkoloni ndio iliyo onekana Mtwara. Usiwafundishe kazi usalama:madgrin:
  4. S

    PICHA: Mkutano wa Waislamu Mtwara wakipinga gesi isiende Dar es Salaam (leo)

    Sio udini, ila rejea nyuma kipindi cha ukoloni hawa watanzania wenzetu wanahistoria ya kutukuka..kwenye mapambano kulikuwa zikionekana kanzu na bargashia na hata nyimbo zao za kuhamasisha zilikuwa zinasema ivi, "In sha Allah, Mungu akipenda mkoloni lazima tumng'oe..." so hatukujali imani wala...
  5. S

    PICHA: Mkutano wa Waislamu Mtwara wakipinga gesi isiende Dar es Salaam (leo)

    Dah...machozi yamenitoka kuona taswira na hali hii, imenikumbusha picha za watanzania kipindi cha kumng'oa mkoloni miaka kenda iliyopita ilikua ni kanzu na vibaragashia tu ndo vilionekana kwenye uwanja wa mapambano na hatimae mkoloni aling'atuka na kukimbilia kwao. Mungu wabariki watanzania hawa...
  6. S

    Utani

    Hey mjamaa unaviatu kubwa mpaka zinaekwa number plate....heheheheheee
  7. S

    Love and mercy between spouses for healing diseases

    "And among His Signs is this, that He created for you mates from among yourselves" …. It was in Allah's Book before fourteen centuries Almighty's saying, "And among His Signs is this, that He created for you mates from among yourselves, that ye may dwell in...
  8. S

    A new hope for diabetes: The Frog Skin

    Allah be He blessed and exalted had exploited many creatures to serve human as He almighty didn’t create anything without a purpose …. "Skin secretions from a South American "shrinking" frog could be used to treat type 2 diabetes" researchers say. A compound...
  9. S

    Can frogs predict the earthquakes

    Allah almighty had supported these weak creatures with very sensitive prediction systems…. Allah almighty had supported these weak creatures with very sensitive prediction systems for earthquakes which are considered to be more advanced than any other human...
  10. S

    kwa mliomuelewa uyu mwandishi mnisaidie

    Sijui kwa kweli tuliombee taifa letu mana huko tuelekeako ni pabovu mno kama hatutokua makini x x x
  11. S

    Mmoja adaiwa kuuawa na wengine kujeruhiwa na polisi katika vurugu huko Tegeta, Rufiji

    Hiyo katika kanuni za jeshi inaitwa "Collateral damage" mana hamtakawia kunitusi x x x
  12. S

    Mmoja adaiwa kuuawa na wengine kujeruhiwa na polisi katika vurugu huko Tegeta, Rufiji

    Welldone Police, Mmefanya kazi nzuri ongezeni bidii ya kuua mana laana ya Mwembechai bado inawatafuna x x x
  13. S

    kwa mliomuelewa uyu mwandishi mnisaidie

    Blushing, ndo hawa eti wamepewa dhima ya kupasha jamii habari...ukisema unaonekana gaidi x x x
  14. S

    Je, Prof. Lipumba anaweza kusimama katikati ya mzozo wa kidini?

    Kama kuna Mroman humu kwenye mjadala naomba afunge domo lake kama hana uhakika juu ya kile akisemacho mana Katekisimu yetu fungu la 2477. linasema, "Heshima ya sifa ya watu inakataza kila hali na neno linaloweza kuwaletea madhara yasiyo ya haki. Anakuwa na HATIA; ya hukumu ya Pupa, hata bila...
  15. S

    Je, Prof. Lipumba anaweza kusimama katikati ya mzozo wa kidini?

    'KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA' kimethibitishwa na Benedictine Publication, Ndanda-Peramiho kina majibu yote,
Back
Top Bottom