MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 884
Hakuna cha udini hapa maslahi yetu na watoto wetu kwanza
Duuuuuuuuhh
hadi Dini zinaanza kuingihingilia Jk anapumulia mashine sasa
Mkianza kujigawa kimakundi hamtafika popote...wekeni udini pembeni!
kadri mwaka 2015 unapokaribia waislam watajua kwamba ni chadema tu,ndio wenye nia ya kuwakomboa watanzania wote bila kujali dini zao,kinyume na poropaganda za ccm kwamba,chadema ni chama cha wakristo,na watajua kwamba ccm uwatumia tu, kwenye uchaguzi wakipata wanawaacha kwenye mataaMpaka kieleweke!!
Sultani Mangungo wa Bagamoyo amesema hajui hawa jamaa wanataka nini!!
Hii kauli ya GESI KWANZA UHAI BAADAE,ndiyo haswaaa!!!!!!tuliyokua tunaisubiria,inaonyesha ni kiasi gani watu wamechoka KUNYANYASWA,KUTISHIWA KUDHALILISHWA,na hata KUONEWA,,!! Heko WAISLAMU kwa kuamua KUFUNGUKA,,,,!kwa hapo tupo pamoja,na Hakika Mungu pia yupo nanyi.HERI VITA INAYOTAFUTA HAKI,KULIKO AMANI INAYOPUMBAZA NA KUZALILISHA UTU WA "MTANZANIA" (MWANADAMU)
BY GODBLESS LEMMA.
Hii ni kauli ya kidikteta
Mti uliopandwa na WanaCCM wa Udini umemea na unatoa matunda haya. Wazee wa Jihad ndo kwanza wameanza.
Serikali inakazi safari jambo hili kama waislamu wameingiza mkono wao; hapo patachimbika na niwajuavyo mtwara wengi ni wale msimamo mkali SUNNI!
Duuuuuuuuhh hadi Dini zinaanza kuingihingilia Jk anapumulia mashine sasa
Kauli za kihaini
mkuu sizinga tupo pamoja mkuu,
nadhan panapo majaliwa kesho uje hapa tena umwage nondo za kutosha