Siku zote TCU haifanyi kaz ya kumchagulia mwanafunzi Chuo Bali inachokifanya ni kumpa mwanafunzi option ya kuchagua Chuo anachokitaka au kukipenda then yenyewe inakuja inam- direct huyo mwanafunzi katika moja ya Chuo kati ya vile avochagua kulingana na ufaulu wa mwanafunzi kama utakuwa unaendana...
Una kiherehere sana unaonekana yaan MTU anaamini hana kosa afu wewe unataka umwombee msamaha? Hujui kuwa kwa sababu yeye anaamin hana kosa ukimwombea msamaha wewe ndo utakuw umetenda kosa? Kwa kumtwisha kosa ambapo yeye anajua Saint and innocent?
Ally kessy n pumba kabisa kwaio yeye amefurahia kutekwa kwa Roma, km anataka ivo na anajua kamtukana mkuru si apeleke shauri mahakamani au waliona mahakaman watashindwa wakaona wamteke na kumpoteza kabx
Kmbe kuteka watu n maendeleo? Kuwafanya watu wawe na wasiwasi na maisha yao ndo kuendelea? Aisee n ngumu kumesa hii, how development to be brought if people are not sure of their tomorrow? Any way
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.