cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,669
- 78,165
Kazi uliopewa ni kubwa kuliko kichwa chako
Sikujua umenipatia kazi
Mtanyooka tu
Kazi uliopewa ni kubwa kuliko kichwa chako
Yes and I think your pc of bread is very delicious to let it go honey.Mmmmmmh
Me working!?
Tunao mpango wa kukuongezea posho maana juhudi zako tumezionaSikujua umenipatia kazi
Mtanyooka tu


UMESAHAU JINSI ALIVYOPAMBANA NA VYETI FEKI NA KUFANIKIWA KUWANG'OA WAHUJUMU WA ELIMU TANZANIAongeza,
Alikuta agenda kuu ya chadema ikikua kupiga vitaufisadi,sasa ameupiga ufisadi mpaka chadema wanaomba radhi na kuamua kuukumbatia
Alikuta nchi imejaa wauza unga ,na wanywa viroba kibao..sasa kalalanao mbele hadi chagadema wanatafuta mbinu ya kuipoozesha hii vita .lakini jamaa amekomaa nao tu.
Alikuta mbowe anamiliki bilican bila kulipa kodi.na vilevile kudai ni jengo lake kumbe ni jengo la umma .amefaulu kumnyang'anya
Alikuta zaidi ya watumishi hewa 17000)
amewaondo wote.
Alikuta Atcl iko ICU sasa imeanza kuwa ndio dactari kwa kuanza kulipa mdeni.
Alikuta mgao wa umeme.hadi watu wanadanganya watatuletea mvua ya kununua kuepuka mgao wa umeme ,sasa a.epambana kwa kumrudisha profesa mchapa kazi kibabe na mgao sasa kwishnei.
Alikuta treni ya umeme ni stori tu yeye ameanza kujenga live bila chenga
Amekuta chadema wanatafuta kiki tu bungeni badala ya kutoa hoja za kujenga nchi yeye kawazimia.kazima bunge lenyewe lisioneswe live.ili waache kutsfuta kiki wafanye kaxi walio tumwa.
etc,
vichekesho baada ya habari hivi.UMESAHAU JINSI ALIVYOPAMBANA NA VYETI FEKI NA KUFANIKIWA KUWANG'OA WAHUJUMU WA ELIMU TANZANIA
Aaa Sasa kaka umesahau kuwa huyo ni mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi, kuondoka kwake hadi mfanyakazi wa mwisho ameondoka ndipo Redundance i take place vinginevyo ni kinyume cha sheria ni hapo tu, hamjapagundua!!!!!vichekesho baada ya habari hivi.
kweni serious. mbona forger in chief yuko nae hapo dar, kamkabidhi mkoa mzima kabisa?
Yes and I think your pc of bread is very delicious to let it go honey.
Tunao mpango wa kukuongezea posho maana juhudi zako tumeziona![]()
Why ! are you scared?No comment.
Aisee kweli MTU akizaliwa kichaa atabaki kuwa kichaa mpaka kufaWewe acha kukuza mambo, Mhe. Makonda ulimuona akivamia au akiingia kwenye jengo hilo!?
Hamchoki kujaribu kumchokonoa Raisi wetu, kwa sababu mnataka afanye mnayotaka!?
Hapa kazi tu
Mtanyooka hadi msage meno, na hii ya kutaka kuichafua nchi ndio mtaisoma namba vizuri.
Magufuli oyeeeeee
Makonda oyeeeee
Anaubongo wa pimbi kabisaUna mwili mkubwa but zero brain
Kazi waliyokupa GSM unaifanya kwa weledi kila likitokea jina la DAB povu lazima likutoke hahahahahahahahaaaaaaaaaaa!!!!Sikujua umenipatia kazi
Mtanyooka tu
Si utuambie hivyo vikubwa maana uloandika ni sawa nahadithi za kusadikikaNimeona akili yako ilivyo finyu , Rais anatathminiwa kwa vitu Vya kijinga hivyo ? Simple minds hizo , kumbe ndio maana watz hatusongi mbele ni sababu watu hawaangalii vitu vikubwa wao ni udaku tu