Recent content by Speculator

  1. S

    Itanigharimu kiasi gani ku-install windows 8 kwenye komyuta yangu ?

    Shukra kwa msaada lakini sijafanikisha mm natumia window 7 niki right click desktop yangu sipati hiyo tab/window ya Properties napata vitu tofauti ikiwemo graphic properties, naomba tena unisaidie,, baada ya ku install QB na ku change compitability to XP bado QB haifunguki...
  2. S

    Itanigharimu kiasi gani ku-install windows 8 kwenye komyuta yangu ?

    Salama nina Toshiba laptop 4 ram, Window 7, kwa kazi yangu natumia accounting package QUICKBOOKS version 2006, na nisingependa kubadili hiyo version, Tatizo Window 7 haikubali hy QuickBook so nadhan nikibadili O/S kwenda Window 8.1 Ita Support hy QuickBook 2006, ili...
  3. S

    Msaada wa kupata luku tanesco kwa ajiri ya frem ya duka kariakoo

    Wakuu salama ? kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia nikapata luku yangu ya kujitegemea ili kuepuka mzozo wa kuchangia kulipa umeme, sisi tuko jengo moja hapa kariakoo lenye maduka kumi hivyo wote tunatumia luku moja tu kwa kuchanga,, tatizo sio watu wote ni...
  4. S

    Siasa za CCM: Kodi juu, Umeme juu, maji juu, Gesi juu, Kiwanja juu, Mshahara uleule

    mm naona yanaeleweka, hoja imeeleweka uongozi na utawala wa ccm unavyo tuumiza watanzania
  5. S

    English Course ya Ukweli

    Shukran kwa wazo lako zuri, naamini ni wengi wenye shida hii ukifanikiwa tafadhali tujulishe na sisi
  6. S

    Nimeamua kujitrain masters degree ofisini kwangu

    Kwa uhakika kwa mazingira yako hayo, asikudanganye mtu ni Open University Of Tanzania pekee inayokufaa na kwa hao wengine hapo oficin kwenu HAKIKA watakutambua, lakini uwe wa kujituma you will get what you need.
  7. S

    Msaada samsung dous unread message hazifunguki na hazionekani

    SALAMA WAKUU, simu yangu (Samsung Duos GT-56102) mssg ikiingia unasikia na kwenye screen inaonekana inbox lakini unapoifungua haionekani wala kufunguka sasa zinaonekana kwenye screen zinaongezeka, pili ukipiga simu baada ya kumaliza haionekani kwenye call list, naomba msaada wenu tafadhali
  8. S

    NAFASI YA KAZI KARIAKOO – DAR (hakuna Udalali mwisho 10/12/13)

    Muombaji awe na sifa zifuatazo Umri 20 – 28 yrs Jinsia wa kike Elimu Form 4 au Form 6 (awe ana uwezo angalau wa kubabaisha kingereza) Makao awe anaishi Dar es salaam Vitambulisho vya makazi na barua ya utambilisho toka serikali ya mtaa anakoishi. Udhamini...
  9. S

    Toyota dcm daladala inauzwa iko kazini au kubadilisha na gari nyingine

    Wakuu salama... ninazo daladala 2 nauza au kubadili na aina nyingine kama pick up, au hata saloon car yenye hali ya upya kwa ajili ya tax, hizo gari ziko kwenye hali nzuri na zote ziko kazini na vibari vyote ukinunua muda huo huo unaendelea kupokea pesa, njia ni G'lamboto - Ubungo piga piga 0754...
  10. S

    Toyota dcm daladala inauzwa iko kazini au kubadilisha na gari nyingine

    Wakuu salama... ninazo daladala 2 nauza au kubadili na aina nyingine kama pick up, au hata saloon car yenye hali ya upya kwa ajili ya tax, hizo gari ziko kwenye hali nzuri na zote ziko kazini na vibari vyote ukinunua muda huo huo unaendelea kupokea pesa, njia ni G'lamboto - Ubungo piga piga...
  11. S

    Msaada namna ya kuweka signature/footer kwenye posts zangu

    MSAADA NAMNA YA KUWEKA SIGNATURE/FOOTER KWENYE POSTS ZANGU Haya maneno yanayo onekana chini ya post namna ya kuyaweka,,, pia mahala pa kupata AVATAR nzuri site zilipo za kuchagua
  12. S

    someni hapa mnisaidie pliiiz

    shukran mkuu tafadhali tusaidiana kutafuta ukufaulu tafadhali nijulishe na mimi
  13. S

    Hisa za crdb hasara hasara kubwa mno ! ! ! Tunaomba msaada ,,,hasara ! !hasara ! !

    Wadau wa hisa za CRDB mwendo huu wa july hii munauonaje ? up to 295 then down to 270, 280 , . . . nani anaweza tabiri what is going to happen at the end of this month ? ? ? KILA MOJAWETU AJARIBU KUTABIRI HAPA, ATAKEYE FAULU (10 x) HUYO NDIYE ATAKAYE KUWA CONSULTANT WETU HUKO MBELE
  14. S

    Msaada message za kutisha za majambazi - dar

    Shukran mkuu office zao ziko wapi ?
Back
Top Bottom