Uaminifu ni mali unaweza kusema ni tunu pia ukiweza kuwa mwaminifu hata kama hauna maokoto ni kama yapo tu maana unaweza kupewa mzigo na usilipe chochote hao watu wapo wachache sana saivi.
Je, kule kwa mchina nako atoe faini ya dola 18000 kama atasitisha oda na huku nako arudishe 129 million, hebu fanya tu hesabu ya hiyo dola 18000 itoke tu kwenye account yake bila faida yoyote ile huyo atakuwa mfanyabiashara au muigizaji?.
Wakuu habari za leo: Naenda kwenye maada kamili hivi kuna umri ukifikia hata kama hauna kiwanja ndo basi tena? Au kila mtu na bahati yake tu kulingana na umri uliofikia?. Na je, kuna ukweli wowote ule kuhusu kuandikiwa wewe hautapata vitu vikubwa maishani mwako?.
Nawasilisha.
Ndiyo maana hata mimi nikasema hapo ni makataba ndo unaongea na watu hawaelewi na pia suala la mkataba ni suala pana sana ukienda kichwa kichwa utapigwa za uso.
Mkuu hujamuelewa mhusika ungesoma vizuri kuna kipengele cha kuvunja oda kwa mchina kaambiwa atalipa faini ya dola 18000 plus na hiyo millioni 129 arudishe je, huo mkataba uliosainiwa na wakakubaliana una maana gani sasa au kwasababu yeye ni kigogo serikalini. Kuna vitu vingine mtu anafosi...
CBM is simply the volume of your shipment. ...
1 kg = 0.001 CBM.
10 kg = 0.01 CBM.
50 kg = 0.05 CBM.
100 kg = 0.1 CBM.
200 kg = 0.2 CBM.
500 kg = 0.5 CBM.
1000 kg = 1 CBM.
TAN-CHOICE wana utaratibu unaomlinda supplier zaidi yaani Supplier anakuwa ndani kiwandani kwenye mzani wakati mbuzi wake wakiwa wanapita kupimwa na yeye yupo ng'ado kwa ng'ado hakuna janja janja. Hiyo ni reality kabisa bila kuambiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.