Recent content by SPECIAL TMN

  1. SPECIAL TMN

    Nawezaje kupata vibali vya kusafirisha nyama nje ya nchi?

    MEAT BOARD watafute hawa watashughulikia jambo lako.
  2. SPECIAL TMN

    Wafanyabiashara wa Tanzania msipoteze uaminifu kwa manufacturers wa nje waliowaamini kwa kutolipia mizigo mliyopewa kwa mali kauli. peni pesa za watu

    Uaminifu ni mali unaweza kusema ni tunu pia ukiweza kuwa mwaminifu hata kama hauna maokoto ni kama yapo tu maana unaweza kupewa mzigo na usilipe chochote hao watu wapo wachache sana saivi.
  3. SPECIAL TMN

    Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha

    Je, kule kwa mchina nako atoe faini ya dola 18000 kama atasitisha oda na huku nako arudishe 129 million, hebu fanya tu hesabu ya hiyo dola 18000 itoke tu kwenye account yake bila faida yoyote ile huyo atakuwa mfanyabiashara au muigizaji?.
  4. SPECIAL TMN

    Je, umri ulionao una tafsiri gani na maisha uliyonayo?

    Wakuu habari za leo: Naenda kwenye maada kamili hivi kuna umri ukifikia hata kama hauna kiwanja ndo basi tena? Au kila mtu na bahati yake tu kulingana na umri uliofikia?. Na je, kuna ukweli wowote ule kuhusu kuandikiwa wewe hautapata vitu vikubwa maishani mwako?. Nawasilisha.
  5. SPECIAL TMN

    Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha

    Mkataba tu ndo unaongea hapo, mkuu sio kwamba watu hawaelewi ila naona wanachangamsha genge tu pesa haiwezi kurudi kirahisi hivyo.
  6. SPECIAL TMN

    Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha

    Ndiyo maana hata mimi nikasema hapo ni makataba ndo unaongea na watu hawaelewi na pia suala la mkataba ni suala pana sana ukienda kichwa kichwa utapigwa za uso.
  7. SPECIAL TMN

    Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha

    Exactly na huo mwanya ukijionyesha tu basi kuna siku mtu atakuja kumfilisi.
  8. SPECIAL TMN

    Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha

    Umeeleweka mkuu kabisa sio mtu kwasababu ni mkubwa serikalini ndo afanye anachotaka hapana afuate vipengele vya mkataba vinasemaje.
  9. SPECIAL TMN

    Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha

    Mkuu hujamuelewa mhusika ungesoma vizuri kuna kipengele cha kuvunja oda kwa mchina kaambiwa atalipa faini ya dola 18000 plus na hiyo millioni 129 arudishe je, huo mkataba uliosainiwa na wakakubaliana una maana gani sasa au kwasababu yeye ni kigogo serikalini. Kuna vitu vingine mtu anafosi...
  10. SPECIAL TMN

    Jinsi unavyoweza kuagiza mabelo ya mtumba kutoka China na Dubai kwa bei chee na kupata faida mara 2 au 3 zaidi

    CBM is simply the volume of your shipment. ... 1 kg = 0.001 CBM. 10 kg = 0.01 CBM. 50 kg = 0.05 CBM. 100 kg = 0.1 CBM. 200 kg = 0.2 CBM. 500 kg = 0.5 CBM. 1000 kg = 1 CBM.
  11. SPECIAL TMN

    Membe amwaga siri Hayati Magufuli alivyomfitini na kumkosesha Ukatibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola

    Mara paap Bashiru anakwenda na V8 Chamwino tena na walinzi halafu anarudi na passo akiwa mwenyewe. Sijui aliomba lift.
  12. SPECIAL TMN

    Songea to Mwanza: Mwamba katoa chuma na kaanzisha hii route

    Au mimi nimeelewaje? Kasema ni km 1400+ na sio 14000.
  13. SPECIAL TMN

    Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    TAN-CHOICE wana utaratibu unaomlinda supplier zaidi yaani Supplier anakuwa ndani kiwandani kwenye mzani wakati mbuzi wake wakiwa wanapita kupimwa na yeye yupo ng'ado kwa ng'ado hakuna janja janja. Hiyo ni reality kabisa bila kuambiwa.
Back
Top Bottom