Ukipata shukuru na ukikosa shukuru maana huwezi kujua kwanini umekosa na kwanini umepata kwa binadamu tu hana reason yoyote ile hata ukiulizwa. Ndio maana wakati wewe unafikiria njia moja kutatua tatizo Mungu yeye ana njia zaidi ya 1000. Pambana pia usisahau kumtanguliza Mungu.
Suala la kutoka ni wewe sasa kijijini sio hoja ila fikra zako na uwezo wa kuziona fursa hukohuko uliko inawezekana kabisa tatizo ni kuamini kuwa hauwezi ila ukiamini basi utatoka. Angalia pia uwezekano wa kupata hata shamba huko uliko sababu shamba ni less supervision tofauti na ukiwa na duka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.