Recent content by SPECIAL TMN

  1. SPECIAL TMN

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Kupata wife material siku hizi imekuwa kama kuchanga karata tu yaani ukilamba mzungu fresh ila ukilamba 2 imekula kwako.
  2. SPECIAL TMN

    JamiiForums Tanzania Uzoefu wangu kwenye biashara ya duka la nguo

    Halafu usipende kuombaomba ushauri take care mambo mengine malizana nayo kinyang'indu.
  3. SPECIAL TMN

    JamiiForums Tanzania How is life treating you Mwana JF?

    Ukipata shukuru na ukikosa shukuru maana huwezi kujua kwanini umekosa na kwanini umepata kwa binadamu tu hana reason yoyote ile hata ukiulizwa. Ndio maana wakati wewe unafikiria njia moja kutatua tatizo Mungu yeye ana njia zaidi ya 1000. Pambana pia usisahau kumtanguliza Mungu.
  4. SPECIAL TMN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mdada ana Annabelle kubwa anavutia kwa namna yake

    Ni sawa tu na mwanaume ana kitambi halafu mazingira yaani niya kutafuta mpaka upekue 😂 😂 😂 😂 😂
  5. SPECIAL TMN

    JamiiForums Tanzania Pesa mfukoni ≠ faida: Biashara ni zile zile, kwanini Watu hawadumu?

    Laki tatu kwa siku sio mchezomchezo ni rahisi kutamkwa ila ukija kwenye hesabu ni jambo lingine kabisa.
  6. SPECIAL TMN

    JamiiForums Tanzania Rafiki zangu wengi niliosoma nao primary na O level wapo vizuri kimaisha. Mimi sijatoboa kwa kweli pamoja na kupambana

    Suala la kutoka ni wewe sasa kijijini sio hoja ila fikra zako na uwezo wa kuziona fursa hukohuko uliko inawezekana kabisa tatizo ni kuamini kuwa hauwezi ila ukiamini basi utatoka. Angalia pia uwezekano wa kupata hata shamba huko uliko sababu shamba ni less supervision tofauti na ukiwa na duka...
  7. SPECIAL TMN

    JamiiForums Tanzania Rafiki zangu wengi niliosoma nao primary na O level wapo vizuri kimaisha. Mimi sijatoboa kwa kweli pamoja na kupambana

    Kuna mazingira sahihi na watu sahihi wanaokuzunguka hivyo vitu ndo vinaamua kwa asilimia kubwa maisha yako yaweje.
  8. SPECIAL TMN

    JamiiForums Tanzania Ni aibu kwa taifa Profesa Kabudi kutoa majibu ya ovyo namna hii mbele ya mwandishi wa BBC

    Ndo maprofesa wetu jamani ila ukweli wanajua.
  9. SPECIAL TMN

    JamiiForums Tanzania Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    Usipoangalia Marekani atakuoa wewe pamoja na wenzio msioamini ukweli.
  10. SPECIAL TMN

    JamiiForums Tanzania Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    Nakufuatilia mkuu unavyoshusha nondo.
  11. SPECIAL TMN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ni jambo gani uliwahi kulifanya kisa mapenzi ukikumbuka unajishangaa?

    Ni kumsave P2 kwenye Contact ila baadae nilikuja kugundua kumbe P2 ni dawa ya kutolea mimba 😂 😂 😂
  12. SPECIAL TMN

    JamiiForums Tanzania Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    Mkuu nashukuru kwa kumpa majibu ya maana maana kuna watu hawaelewi kitu kabisa. 🙏 🙏
Back
Top Bottom