Kuna kuzima simu na mambo yako yakazimika mazima yaani kuzima simu you know exactly what your going to do with the situation, kufanikiwa ni mtazamo wako ukoje ukiangalia kwenye kila aliyefanikiwa alipush button ambayo kwa wengine ilionekana ngumu kwahiyo maisha hayana formula. Mimi nimekuta...
Kujifunza kwa waliofanikiwa ni sawa ila wewe una njia zako pia maana saivi huwezi kuangalizia mtihani kwa mwenzio utaenda kukutana na maswali tofauti na ya kwako kwahiyo komaa na maswali yako huku kama unaangalizia kwa mwenzio incase maswali yako yawe yanarelate na hayo ya mwenzako. Lakini...
Kiungo wa Senegal Pape Gueye amechapisha ujumbe kwenye insta story yake akiweka wazi kutitoa katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Senegal hadi benchi la Ufundi litakapofanyiwa mabadiliko.
"Nitarejea baadae kuwaambia maneno machache kuhusu kutolewa kwetu, lakini leo natangaza kwamba ikiwa benchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.