Recent content by spangwingwi

  1. S

    JamiiForums Tanzania Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    uko sahihi asanteeee
  2. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta vijana wa kutembeza viatu grade one vya mtumba pamoja na mashati ya kiume

    Kama kichwa Cha habari kinavojieleza ukiwa ni kijana njoo tufanyie kazi. Mimi napoint viatu karume na mashati ya kiume na Sasa natafuta mtu ambaye anachukua mzigo kwangu anauza faida tunagawana nusu kwa nusu. Ishu hapa huhitaji mtaji ila inahitaji uaminifu na moyo wa kufanya kazi kutafuta...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Ni jambo gani watu wanalifanya sana lakini wewe huwezi?

    Kula ugali Kwa picha ya samaki asee Mimi siwezi
  4. S

    JamiiForums Tanzania Tabora: Atapeliwa saa ya Milioni 1 na mganga wa kienyeji

    Ccm ni kawaida. Hakawii kusema tunamshukuru mama mzee katapeliwa ila ni mzima wa afya kwani mama kaimarisha ulinzi kote kule makaburini.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Huu Mkutano wa SADC Samia alitoa maoni gani tufahamishwe watanzania

    Mmmmh wasap tena
  6. S

    JamiiForums Tanzania Huu Mkutano wa SADC Samia alitoa maoni gani tufahamishwe watanzania

    Ww jamaa ukifa hauozi daaaah nimeipenda na uko sahihi kweli.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kamusi ya kichaga cha Marangu kwenda kiswahili

    Mbuti......k Mkuli/menya...... Mb....o Thekere.........mapu....mb... Vika........t........mba Tulu........t......ko
  8. S

    JamiiForums Tanzania Askari wa Marekani waliorudi nchini kwao baada ya kushiriki vita nchini Iraq na Afghanistan wanajiua kwa viwango vya juu

    Hao askari wa miaka 18 wanaojiuwa vita walipigana huko Iraq lini. Au wakiwa na miaka 10
  9. S

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mary Chatanda ashiriki ujenzi wa nyumba ya mjane wa Nyama ya Swala, Maria Ngoda

    Asante Mungu hivi kumbe huyu mama aliachiwa huru
  10. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilivunja urafiki na kumshushia heshima Mjomba wangu baada ya kugundua ni mtu mwenye tabia ya kuingilia faragha yangu

    Mjomba kuuliza umeoa si jambo la kukasirika. Na kuhusu wanaume kuolewa Kuna kitu amesoma kwako utakua unakaa kiupinde upinde
  11. S

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kwa taifa 'takatifu' kuongozwa na kulindwa na Marekani taifa chafu kuliko yote?

    Wenyewe Wana kamsemo kao kwamba Mtumikie kafiri upate kula
  12. S

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Matunda Matamu Ya Siku 150 Za DP World Bandarini, Serikali Yakusanya Billion 325

    Vipi shati lako la ccm limeboreshwa au ni Lile Lile la kitenge Hela si imeingia. Mama atakushonea na suruali ya kitenge
  13. S

    JamiiForums Tanzania Naishi kwenye Nyumba ya kupanga mwenye nyumba alifariki ghafla na ndugu hawaijui hii nyumba

    Haiez tokea kwamba hakuna hata jamaa yake anaijua. Lazima Kuna jamaa Ake wanalewa wote ashampa hiyo Siri. Afu acha ujinga walopenda slope wote p Diddy kapita nao.
  14. S

    JamiiForums Tanzania Kero za nyumba za kupanga: Nawasha taa moja ila naambiwa nilipe bill ya umeme sawa na wanaotumia TV na Fridge

    So vitu vya kuwaza hivo hata kama una taa Moja we lipa. Cha muhim usije ukakuta umeme umeisha afu walete uswahili kununua ikiwa hivo wapelekee moto
Back
Top Bottom