Solution is very simple. unahost domain ya .co.tz then unaiderect kwenye ile ya zamani. Hivyo basi unakua na domain zote 2 (.co.tz na .com). Pia gharama ni kama 75,000 tu kwa mwaka
Mkuu, nimepaua mwezi uliopita na nyumba ni 13.8 x12 m. Gharama zilikua kama ifuatavyo
1. Bati (28G IT 5) idadi ya bati 50 na urefu ni 6.15m . Zilibakia bati 3 na vipande vichache
2. Mbao (Treated) 2x4 ya 20ft kwa 110 pcs na zilibaki 3, 2x2 ya 20ft kwa 70pcs zilibaki 8, 1x8/10 sikununua
3...
Nasikitika sana kwa aina ya maswali wanahabari wetu kuyauliza pindi wanapokutana na viongozi wa kuu wa taifa letu.
Mara nyingi huuliza maswali dhaifu, mepesi na pengine wanayo majibu ama yanafahamika. Mfano swali la Manyerere kwa JPM.
Tafadhalini sana mjipange ili muweze kuuliza maswali yenye...
siyo kwamba watumishi hawasafiri tena bali ni kwa kibali cha KMK Balozi Sefue. Pia ijulikane huwezi kufuta safari zote za nje ni jambo lisilowezekana katu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.