CCM HAWAWEZI KUTOKA NJE LABDA VIVULI VYAO.Ajabu na kweli CCM wamepata kura 0 uchaguzi wa Meya na Naibu Meya Ilala.Hii ni aibu kwa chama kikongwe kukimbia uchaguzi na kupata sifuri.
Sasa ni wazi na ni dhahiri kwamba ccm waliangukia pua uchaguzi uliopita
Mkuu ya kweli haya? Nimeagiza nusu kuku kwa furaha,wasije kanusha nkapata hasara meku