Katika taarifa zimenifurahisha ni kuona Misha amejiunga mazoezini na timu yetu. Baada ya muda mrefu wa misukosuko sasa tutegemee kumuona uwanjani anakiwasha kama kawaida.
Nimefarajika sana
Miaka ya 2009 mpaka kuja 2013 nakumbuka kanda ya ziwa kulikua na ligi za kina Super Najimunisa na Allys Star Bus. Halafu luxury zilikua Mohamed Trans na Mombasa Raha hizo zote Dar-Mwanza.
Inategemea na aina ya mafanikio unayotaka wewe. Kufanikiwa kibiashara zaidi au kufanikiwa kwa kubeba makombe ambayo yataleta biashara zaidi (Ambayo ni process ya muda mrefu zaidi)
Watu hawapigi hesabu kwenye pesa ya usajili pekee wanapiga hesabu na kwenye wage bill inayofata baada ya usajili. Huwezi kuwa Maignan na Sancheza kwa pamoja itakucost mno likija swala la mishahara. The same ita apply kwa Xhaka akija kwa bei yoyote hatachukua mshahara wa kina Tosin au Quenda...
KAbla ya kuishabikia Chelsea mimi ni shabiki wa mpira. Hivyo ninatazama mechi zote kila ninapopata nafasi. Xhaka ni mchezaji mzuri mwenye uzoefu wa PL kwa misimu mingi sana.
Pamoja na hivyo haimaanishi ndio auzwe paundi milion 20.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.