Recent content by Southern Highland

  1. Southern Highland

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Double Striker
  2. Southern Highland

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hawezi kuwa fit sana. Apate mechi nyingi hata mpaka mwezi wa 12
  3. Southern Highland

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Katika taarifa zimenifurahisha ni kuona Misha amejiunga mazoezini na timu yetu. Baada ya muda mrefu wa misukosuko sasa tutegemee kumuona uwanjani anakiwasha kama kawaida. Nimefarajika sana
  4. Southern Highland

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna bus zilizokua na Aura kama Sauli Luxury 2018-2024 Mikoa ya nyanda za Juu kusini?

    Miaka ya 2009 mpaka kuja 2013 nakumbuka kanda ya ziwa kulikua na ligi za kina Super Najimunisa na Allys Star Bus. Halafu luxury zilikua Mohamed Trans na Mombasa Raha hizo zote Dar-Mwanza.
  5. Southern Highland

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ndugu unahaingaika vibaya sana
  6. Southern Highland

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa: Makamu wa Rais ana nafasi gani katika nchi?

    MIhayo acha kupoteza muda wako. Sio kwamba hawajui wanachokifanya au kuongea.
  7. Southern Highland

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa: Makamu wa Rais ana nafasi gani katika nchi?

    Kukata utepe tu
  8. Southern Highland

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Inategemea na aina ya mafanikio unayotaka wewe. Kufanikiwa kibiashara zaidi au kufanikiwa kwa kubeba makombe ambayo yataleta biashara zaidi (Ambayo ni process ya muda mrefu zaidi)
  9. Southern Highland

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Watu hawapigi hesabu kwenye pesa ya usajili pekee wanapiga hesabu na kwenye wage bill inayofata baada ya usajili. Huwezi kuwa Maignan na Sancheza kwa pamoja itakucost mno likija swala la mishahara. The same ita apply kwa Xhaka akija kwa bei yoyote hatachukua mshahara wa kina Tosin au Quenda...
  10. Southern Highland

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    KAbla ya kuishabikia Chelsea mimi ni shabiki wa mpira. Hivyo ninatazama mechi zote kila ninapopata nafasi. Xhaka ni mchezaji mzuri mwenye uzoefu wa PL kwa misimu mingi sana. Pamoja na hivyo haimaanishi ndio auzwe paundi milion 20.
  11. Southern Highland

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kweli ofa walotoa nyumbu ni nzuri ukizingatia alikua anakaa tu bench
  12. Southern Highland

    JamiiForums Tanzania Morocco itatinga nusu fainali kombe la dunia-2026

    Dembele Asante sana
  13. Southern Highland

    JamiiForums Tanzania Morocco itatinga nusu fainali kombe la dunia-2026

    Wafungwe tu
  14. Southern Highland

    JamiiForums Tanzania Morocco itatinga nusu fainali kombe la dunia-2026

    Morocco aende nusu fainali kutafuta nini?
  15. Southern Highland

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Paund Mil 8 inatosha sana kwa Xhaka. Keshaisha huyo ukimleta darajani anakuja kuleta uzoefu tu.
Back
Top Bottom