Ndugu Israel na USA wanaushirikiano wa kidiplomasia kitambo. Wewe unaona kama ameomba msaada ila kiuhalisia ushiriano walionao ni wa kimaslahi kwa pande zote mbili. Kama tu Yemen kwa Iran. Yale ni mashirikiano tu kwa lugha ya kidini lakini sio burebure Yemen keshafaidika sana kwa Iran.
Sijasema...
Nyie Iran anajitutumua tu hana ubavu wa kupigana vita na hao maadui zake. Ni vile tu maadui nao hawataki kutumia excessive force.
Iran wanaweza kujitutumua tu ila kupugana vita na IDF au USA hana uwezo huo.
Hao NATO kama wanampinga Israel ni wao hawasaidii chochote akitishiwa au kushambuliwa. Same to Iran wangapi wanampinga na nini kinatokea? Falme za kiarabu wote wanamchukia lakini ujeuri sasa
Ayatollah Khemenei alishawahi kusema huku akitetea Hamas.
Kuhusu hiyo Samson Option hiyo ni mind games anachezewa Iran. Kwamba kwa namna yoyote Iran akiamua kukiamsha basi Israel anamaliza. Kumtengenezea uoga na majuto.
Katika kauli zao wenyewe walishasema wanataka kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia. Mungu alivyo mkubwa wanazidi kuishia wao tu. Israel anayohaki ya kujilinda na threats zozote dhidi yake. Hawezi kukaa kinyonge ndio maana wengi wenu mnaumia mambo anayofanya Israel.
Wekeni silaha chini dunia...
Daah mkuu kwanini mnaaminishwa ujinga na nyie mnaamua kuugandisha kichwani kama vile tuko miaka 90. Haya mambo mnayatoa wapi? Kapingwa na nan? na hizo asilimia unazitoa wapi?
Kuupinga ugaidi ni kazi kubwa sio kila mtu anaweza kuwa na moyo huo ndio maana kunaudanganyifu mwingi kama huo ulioshika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.