Mimi siko Chadema, ila mnapoteza muda kuwananga watu ambao hawahitaji kuchangiwa na wafanyabiashara ili waendeleze harakati zao. Rudisheni akili zenu matako nyie mnaweza rudisha imani ya wananchi ila mnazidi kuharibu mkiamini Chadema ndio kikwazo.
CHADEMA wanatumia udhaifu wenu wapumbavu nyie
Huwezi tenganisha CCM, UVCCM na mapunguani wengine na Ukilaza maana wote ni hamnazo Matako Pesa nyie. Unaua watu ili ukae madarakani halafu unaendelea kusifia tu
Ni wazi kwa namna moja au nyingine si mfuatiliaji wa haya mambo. Iran ndio msambazaji mkubwa wa silaha kwa vikundi vya kigaidi kama Hamas, Hezbollah, Houths na Lebanon. Hawa wote wamekua tishio kwa matamshi na matendo ovu kwa Israel na ukanda ule wote.
Israel amefanya kumdhoofisha tu hasa jwa...
Mkuu biashara ya kubadilishana fedha na sarafu iko duniani kote na ni halali kabisa. Endelea kuvuta viatu mkuu forex trading ni scam na iweke mbali na familia yako.
Nimeanza kutrade since 2018 faida bimeanza kuiona 2023 mpaka leo sijawahi kupost chochote na kuna baadhi ya marafiki waliowahi kuniona nakula mapindi wanaamini hakuna nilichopata toka kipindi kile cha Covid 19.
Tofautisha ego ya mtu na biashara husika.
Kama huja accuse ungesema utapeli uko wapi kuliko hii sentensi fupi tu. Nyie ndio CCM inawapenda sana badala ya kutengeneza mazingira wezeshi kwa biashara kama hizi kufanyika kwa urahisi mnazidi kuwaingiza watu gizani kwamba ni utapeli.
Hii dunia ya Information na Teknolojia unaita Forex...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.