Recent content by Southern Highland

  1. Southern Highland

    Iran wanafanya kosa lile lile la kudhani Trump ni muoga baada ya kuongeza siku 5, Ayatollah na Maduro walimpuuza alipoongeza muda, kiko wapi?

    Hao wanalenga raia. Wenzao vita wanapiga kimkakati ndio maana mpaka raia wao wenyewe wanawakataa.
  2. Southern Highland

    Unaweza ukalia kwa kuachwa na mpenzi?

    Inategemea, kama ana tako siwezi kulia, lakini kama ana degree (flat screen) nitalia wee. Unaachwaje na mtu hana ushindani mkubwa.?
  3. Southern Highland

    Iran wanafanya kosa lile lile la kudhani Trump ni muoga baada ya kuongeza siku 5, Ayatollah na Maduro walimpuuza alipoongeza muda, kiko wapi?

    Ndugu Israel na USA wanaushirikiano wa kidiplomasia kitambo. Wewe unaona kama ameomba msaada ila kiuhalisia ushiriano walionao ni wa kimaslahi kwa pande zote mbili. Kama tu Yemen kwa Iran. Yale ni mashirikiano tu kwa lugha ya kidini lakini sio burebure Yemen keshafaidika sana kwa Iran. Sijasema...
  4. Southern Highland

    Iran wanafanya kosa lile lile la kudhani Trump ni muoga baada ya kuongeza siku 5, Ayatollah na Maduro walimpuuza alipoongeza muda, kiko wapi?

    Nyie Iran anajitutumua tu hana ubavu wa kupigana vita na hao maadui zake. Ni vile tu maadui nao hawataki kutumia excessive force. Iran wanaweza kujitutumua tu ila kupugana vita na IDF au USA hana uwezo huo.
  5. Southern Highland

    Dunia Haiwezi kuwa na Amani endapo kizazi cha Israel bado kipo hai

    Kwahiyo Iran ndio alikengeuka katika urafiki huo wa kinafiki
  6. Southern Highland

    Dunia Haiwezi kuwa na Amani endapo kizazi cha Israel bado kipo hai

    Hao NATO kama wanampinga Israel ni wao hawasaidii chochote akitishiwa au kushambuliwa. Same to Iran wangapi wanampinga na nini kinatokea? Falme za kiarabu wote wanamchukia lakini ujeuri sasa
  7. Southern Highland

    Dunia Haiwezi kuwa na Amani endapo kizazi cha Israel bado kipo hai

    Ayatollah Khemenei alishawahi kusema huku akitetea Hamas. Kuhusu hiyo Samson Option hiyo ni mind games anachezewa Iran. Kwamba kwa namna yoyote Iran akiamua kukiamsha basi Israel anamaliza. Kumtengenezea uoga na majuto.
  8. Southern Highland

    Dunia Haiwezi kuwa na Amani endapo kizazi cha Israel bado kipo hai

    Katika kauli zao wenyewe walishasema wanataka kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia. Mungu alivyo mkubwa wanazidi kuishia wao tu. Israel anayohaki ya kujilinda na threats zozote dhidi yake. Hawezi kukaa kinyonge ndio maana wengi wenu mnaumia mambo anayofanya Israel. Wekeni silaha chini dunia...
  9. Southern Highland

    Dunia Haiwezi kuwa na Amani endapo kizazi cha Israel bado kipo hai

    Daah mkuu kwanini mnaaminishwa ujinga na nyie mnaamua kuugandisha kichwani kama vile tuko miaka 90. Haya mambo mnayatoa wapi? Kapingwa na nan? na hizo asilimia unazitoa wapi? Kuupinga ugaidi ni kazi kubwa sio kila mtu anaweza kuwa na moyo huo ndio maana kunaudanganyifu mwingi kama huo ulioshika
  10. Southern Highland

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nashukuru sijatoka kujihangaisha kwenda kuangalia huu utopolo
  11. Southern Highland

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mbona kama vile tayari tushawekwa hata dakika 10 hazijaisha
Back
Top Bottom