Recent content by sostenes

  1. sostenes

    TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

    Dah kama huyu jamaa amevuta kisa uhalifu basi ulinzi haujakaa poa Hata kidogo
  2. sostenes

    Job Ndugai asoma msg kwa kujificha bungeni

    kwani spika na naibu wake hawaruhusiwi kutumia simu bungeni
  3. sostenes

    Dk. Shein apangua Baraza la Mawaziri la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

    hivi inchi ndogo kama Zanzibar inahitaji serikali kubwa kiasi hiki? na nani anaye walipa hao viongozi na gharama kubwa za kuendesha serikali? watu wa bara! mimi naona sio fair kabisa
  4. sostenes

    Joyce Ndalichako: Clouds FM ilimpa promo kijana aliyendika matusi kwenye mtihani wa Kidato cha Nne

    wanakaa kuponda kumbe hata hawajui kuwa kazi ya baraza la mitihani ni kutunga kusimamia na kusahihisha mitihani pamoja na kutoa matokeo. clouds wamezidi naapa sijawahi tanzania hii kusikia redio station inayoitetea serikali kama clouds fm yaani mpaka inakera. kwa waliosikiliza jana jioni...
  5. sostenes

    Waraka wa UAMSHO unaochochea machafuko Zanzibar

    kama ni kweli huu ni waraka wa hao wanaojiita wanauamsho basi nafikiri tumefika pabaya sana. ila napenda kuwaambia jambo moja kuwa sisi sote ni watanzania na hata wanaaowaita makafiri wameumbwa na mungu huyohuyo wanayemwamini wao tena hao wanaowaita makafiri wanao uwevo vilevile wa kujilinda na...
  6. sostenes

    Mauaji ya Padre Zanzibar: Rais Kikwete awataka wakatoliki kutulia, linashughulikiwa

    raisi ataendeleakusema amepokea kwa mshtuko sana habari kama hizi maana naamini hii sio mara ya kwanza au ya mwisho kwa jambo kama hili kutokea, tunamuomba rais achukue hatua mathubuti dhidi ya wahusika maana watu wanaoenezaa chuki zakidini wanahubiri hadharani mara nyingi. tatizo ni kuleana au...
  7. sostenes

    Mwanza: Pinda aagiza waislam kuendelea kuchinja...

    acha mambo ya ajabu wewe, yaani mtu mzima unazungumza maneno kama hayo
  8. sostenes

    JWTZ inapelekwa vitani bila ruhusa ya Bunge?

    wee acha kuzungumzia mambo yanayo husu usalama bila kujua kinachoendelea maana unawezakuta unaingilia usalama wa taifa
  9. sostenes

    Bunge lajigeuka: Tutaendelea kurusha 'LIVE' vikao vya Bunge...

    halafu sio kwamba bunge limejigeuka ila kuna watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri tena wenye mawazo ya kiizamani ambao walitaka kuyaleta hayo mawazo ya kizamani katika dunia ya sasa. ila nashukuru tuna watu jasiri na welewa katika bunge letu
  10. sostenes

    Wakristo bucha hii hapa

    yaani mpaka inakera kabisa, hivi kwa nini uongozi hauchukua hatua zinanoeleweka? jibu ninalo "tuna rais dhaifu sana"
  11. sostenes

    PONDA apewe dhamana

    huyu ponda ndiye yule aliyefukuzwa uarabuni kwa kosa la kushiriki mambo ya ugaidi? kama ni yeye basi hakuna haja ya dhamana ya aina yoyote
  12. sostenes

    Bunge Lisirushe Matangazo yake 'LIVE' - Nape

    watu wote wanaoshika madaraka wakati huu ni wale wenye mawazo ya kizamani kama ya nape, wazee jamani waachieni vijana ngazi tuone mabadiliko
  13. sostenes

    Bunge Lisirushe Matangazo yake 'LIVE' - Nape

    aache mawazo ya kizamani huyo nape, wazee wa ccm ndiyo wanao ogopa mabadiliko
Back
Top Bottom