Kwahiyo watu wanaokeshs Dar ni walevi peke yao?watu wengine wanatoka night shift wakale wapi na baa zimefungwa kama sio kwa wauza kihepe?mtaani na joto hili mtu anakaa barazani anapiga stori njaa ikiuma anaenda kwa mgosi kutia zege.hii ni fursa nzuri kwa wenye maono.
Sasa bunge live kila siku...
Mke wa mtu sumu,huyo dada wa kazi huko alikotoka ameaga kwa mumewe kuwa anakuja kazini.sasa weww unajifanya kidume kumdandia kisa eti ni sasa wa kazi.next time utakojoa dagaaa.
Ushauri ni u m pm myajenge kuliko kuusemea moyo wako na kuishia kusoma post zake.atachukuliwa na warembo wenzio halafu ubakie kununa,sema naye usione soo.
Mkuu panga halitoi mlio.hata Marekani kosa la kukutwa na panga ni kubwa kuliko kosa la bunduki.kumbuka panga halisikiki hatua mia hasa kama aliyevamiwa hakuweza kutoa sauti kuomba msaada.ila ingekuwa ni bunduki mlio ungesikika na watu wangesogea kujua kulikoni.
Clement ukweli ndio huo Tata hajanunua au kuoewa haki 100%.Kapewa brand moja tu ambayo ni Land Rover bro,Range Rover imebakia ibatengenezwa na Land Rover(kiwanda mama UK)
Range Rover ni moja ya product inayotengenezwa na Land Rover.mfano mwepesi bwana Clement ni kama kampuni ya Soda za Coca Cola.Coca Cola wana product nyingi,coca yenyewe,fanta za flavour mbalimbali,sprite,bitter lemon,ginger ale na nyingine ongezea mwenyewe.Sasa hawa Coca tuseme waamue kumuuzia...
Wakuu kwema,Nimefurahi kuona new model ya Ranger Rover.
Pili baada ya crisis ya muda mrefu Land Rover ambaye alikuwa anatengeneza Land Rovers na Range Rovers aliamua kuuza trade mark ya Land Rover(sio Range Rover) kwa Ford.Ford wakaiuza kwa Tata.na kwa mujibu wa deni lilivyokuwa kubwa Land...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.