Nahitaji soko la magamba ya konokono

Nahitaji soko la magamba ya konokono

Fahari

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
1,044
Reaction score
699
Wadau,kwa mwenye kufahamu ni wapi linapatikana soko la magamba ya konokono (shells)wadogo Wa Ziwa Victoria.Wasindikaji Wa vyakura Vya mifugo nadhani mnaweza kuwa na taarifa.
 
Changanya na dagaa wa mwanza hapo.then ingia google utakuta wafugaji wa kitz chagua mawasiliano ya wachache kisha fanya nao biashara
Asante kwa maelezo yako ,nimepata pa kuanzia.
 
Ndio kaka hii ndio deal ktk kipindi hiki kigumu,watu wote wamehamia ktk ufugaji wa wanyama hasa kuku.we andaa mzigo mkubwa
 
weka mawasiliano: ulipo na simu ukidadavua bei kwa kipimo kama kg, ndoo, mfuko/gunia na ikibidi jinsi ya kusafirisha
 
Changanya na dagaa wa mwanza hapo.then ingia google utakuta wafugaji wa kitz chagua mawasiliano ya wachache kisha fanya nao biashara
Aiseeeee. Kweli hii ni jf kila kitu ni masiara hata kama jamaa yupo serious.
 
Fablo sio masihara,haya mwambie wewe masoko yalipo apeleke mzigo.ili tumsaidie
 
Watu wa Mali Asili wanakunyemelea, tafuta vibari kabla hujaanza uvunaji na usafirshaji wa hayo makonokono (shells) mkuu vinginevyo kamtaji kako katapigwa kama mwewe na kifaranga!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom