Recent content by sooi

  1. S

    TCRA kwa kuendelea kuwadekeza Clouds kuna siku watatuwekea Ngedere kutangaza taarifa zao za Habari!

    ungetaka wamuenzi mtoto kwa njian gani? au kwakuzowa taka jalalani? ww ulitakaje?
  2. S

    Nauza gari Million 9

    Sorry wandugu kuna mtu katumia sm yangu kimakosa verry sorry
  3. S

    Nauza gari Million 9

    Natafuta wife material, mcha mungu, mtiifu, umri 20-28. Me nina umri wa miaka 33
  4. S

    Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

    Kwani nchi hii ukitaka kuimba wimbo wako kumsifia mtu unatakiwa ukaombe ruhusa mbona alopimuimbia mungu hamjasema? Acheni uzuzu
  5. S

    CHADEMA Wakamatwa na Vifaa vya Kijeshi Ofisini!

    Ss hivi visu viwili na manati ndio vyakuanzishia vita? Huu ni uchochezi acheni kupost mambo yasiyo kuwa na tija mtajasababisha ya s.africa hapa kwetu kwa kutokuchuja kauli zenu
  6. S

    Olewa tu

    endaikawa mungu kakuopushia balaa wapo walioowa wakidhaniwanapenwa leo wanajutia
  7. S

    Unajisikiaje mbunge wako akitetea mafisadi

    ipasho imeanza jamani
  8. S

    Waliopokea Pesa za Escrow ni Wezi kama Wezi Wengine wa Kuku na Mbuzi Warudishe Haraka Sana!!

    hao wamechukuwa sio wameiba alieiba ni huyu wa kuku
  9. S

    Mbunge Charles Mwijage ni hatari sana

    wanatakatisha hela chafu mwizi wa mabilion kachukuwa mwizi wa kuku kaiba
  10. S

    Nauza gari Million 9

    iko sokoni haijagongwa inapatikana dar ruksa kuikaguwa
  11. S

    Nauza gari Million 9

    haijagongwa, inaletha ya crem ipo dar es salaam fundi ruksa kuja nae. uko serios nipigie
  12. S

    Nauza gari Million 9

    Progress. Kwa mawasiliano piga: 0754 444 417
  13. S

    Mambo machache ya kushangaza kuhusu Nabii Eliya Mungu wa Majeshi

    imeandikwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Back
Top Bottom