Olewa tu

Olewa tu

Huyo alikuwa mchepuko wake na usishangae kukuta ndiyo chanzo cha mgogoro wenu.
 
Daaah!!moyo wangu waniuma sana!!ni mwanamke ambae nilimuingiza katika ulimwengu wa maraha na kiukweli nilimpenda sana!!hapa katikati kulitokea mtafaruku baina yetu..!!hata mwezi mmoja haujapita juzi kalipiwa mahari!!BADO SIAMINI ILA NDO ISHATOKEA....

Baraka hiyo toka kwa Mungu, hukuiona ila ndo hivyo! Haiwezekani mmeachana mwezi mmoja alafu anatolewa mahari. Labda awe kaozeshwa kwa lazima, ila sidhani! Alikuwa anakuzingua tu. Chapa lapa!
 
Duh!huyo dada nae!!!mhhhhh????

Mpendwa! wakati mtu mwingine anasubiri sijui kuchunguzana wengine wanajitosa na kujisemea liwalo na liwe huyo dada sijui kawaza nini? naona kama ni mapema sana kukutana na mtu ndani ya mwezi na ndoa kutangazwa labda kaka awe ametudanganya .
Au alikuwa anajuana na huyo mwanaume muda mrefu
 
Hayo mabao uliyofunga hukurihika???
Hem acha kulia ovyo, hawa viumbe wamejaa kama mchanga wa bahari bhana..!
 
Heheheheheh

Kumtoa bikira ndio ukajiona kiduuuuuuumeeee eeeeh?????

Vidume wanatoa mahari na kuvuta vitu

Anyway poleeee
 
endaikawa mungu kakuopushia balaa wapo walioowa wakidhaniwanapenwa leo wanajutia
 
Daaah!!moyo wangu waniuma sana!!ni mwanamke ambae nilimuingiza katika ulimwengu wa maraha na kiukweli nilimpenda sana!!hapa katikati kulitokea mtafaruku baina yetu..!!hata mwezi mmoja haujapita juzi kalipiwa mahari!!BADO SIAMINI ILA NDO ISHATOKEA....
Wasukuma wanamsemo wao unasema"oli o bhikija nti ng'wi poru" yaani maana yake ulihifadhia mti porini,unaona mti mzuri porini kwa kazi zako lkn unasema uuache utakuja kuukata siku nyingine.
 
Imeandikwa, acha ngano na magugu vikue pamoja wakati wa kuvuna ..............( sasa sijui kakufanya ngano au gugu)
 
Lazima kuna sababu ya huyo binti kukubali kuolewa haraka. Pengine wewe ndio ulikuwa mwenye makosa na umemumiza. Wanawake wengi hujikuta wakiingia kwenye mahusiano au ndoa na watu wasio wapenda wakitafta faraja au kureplace their loss.
Na huyo jamaa hajafanya hajizi kajua dem kifaa akaona akisubiri tuu lazma dem angerudi kwako. Pole ila learn.
 
hahahahahhaaaaaaaaaaaaa jf raha tupu kuna vimbangwa na majanga yake yenye kufurahisha sana aiseee

bigup mamods kwa kazi yenu ya kuweka na kutoa
 
hivi unajua maana ya demu?

demu maana yake ni kitambaa kikukuu chenye kwisha yani tambara bovu ambalo halifai kitu hivyo ndiyo demu maana yake ingia google search swahili dictionary utaona hiyo kitu hivyo msipende kuwaita wanawake mademu jamani mnawadhalilisha
Lazima kuna sababu ya huyo binti kukubali kuolewa haraka. Pengine wewe ndio ulikuwa mwenye makosa na umemumiza. Wanawake wengi hujikuta wakiingia kwenye mahusiano au ndoa na watu wasio wapenda wakitafta faraja au kureplace their loss.
Na huyo jamaa hajafanya hajizi kajua dem kifaa akaona akisubiri tuu lazma dem angerudi kwako. Pole ila learn.
 
hivi unajua maana ya demu?

demu maana yake ni kitambaa kikukuu chenye kwisha yani tambara bovu ambalo halifai kitu hivyo ndiyo demu maana yake ingia google search swahili dictionary utaona hiyo kitu hivyo msipende kuwaita wanawake mademu jamani mnawadhalilisha

asante kwa kunijuza. sirudi teenaaa kutumia hilo neno.
 
Mpendwa! wakati mtu mwingine anasubiri sijui kuchunguzana wengine wanajitosa na kujisemea liwalo na liwe huyo dada sijui kawaza nini? naona kama ni mapema sana kukutana na mtu ndani ya mwezi na ndoa kutangazwa labda kaka awe ametudanganya .
Au alikuwa anajuana na huyo mwanaume muda mrefu

Usisema ni mapema sn kwake, huwezi jua labda huyo jamaa alikuwa mchepuko hivyo baada ya njia kuu kuzingua ndio jamaa akapandishwa hadhi fasta. Toka mchepuko hd hubby.
 
....Life bwana is very easy ukifuata kanuni hii ktk kila jambo ulifanyalo...."Expect the best in life but also at the same time prepare for the worst":hand:
 
Usijeshangaa hata anaemuoa nae aliemtoa bikra, ulimwengu wa mchina huu.
 
Back
Top Bottom